Ushawahi ona bondia anam-frustrate mwenzake ampaka anakacha pambano?

Tyta

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
12,767
Reaction score
10,528
Katika pitapita zangu YOUTUBE nikakutana na hii clip ya Bondia maarufu nchini Marekani miaka 1970-1980. Jina lake ni Sugar Ray Leonard, Bondia huyu alishawahi mchapa(K.O)Floyd Mayweather Sr.

Ndiye bondia wa Kwanza duniani kupata zaidi ya dola 100milioni kama zawadi za mapambano yake.

Mnamo june 20,1980 alipigana na Bondia aliyefahamika kwa jina la Robert Duran kutoka Panama. Mpambano huu uliishia kwa Leonard kushindwa kwa point.

Novemba 25,1980 wababe hawa walirudi tena uwanjani kwa pambano la marudiano.Sugar Ray akiondoka na kitita cha dola milioni 7, wakati Duran akipata dola milioni 8. Pambano lilinza vizuri tu lakini ilipofika raundi ya nane Kituko alichofanya Sugar ray kamwe hakitokuja kusahaulika


 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…