ivanabakalemwa
Member
- Jul 18, 2020
- 17
- 20
makamo kivipi? si ndo tupo kwenye kampeni bado hawajachaguliwa , n mgombea mwenza tu kama wagombea wenza wengine.Kumbuka mama Samia ni makamu wa rais, anafanya mambo kwa heshima na utaratibu kulingana na hadhi yake, anaongea kwa hoja, anachagua cha kuongea, anajua aongee nini kutokana na watu anaokutana nao, hawezi kubwabwaja hovyo tu kama salum mwalimu.
😘😘😘 Mkuu anavutia si hapa 😋😋. Labda we umempenda kihivo nini 😂😂😂ingawa mm ni ccm, ila yupo mgombea mmoja wa chadema amefanya kampeni nzuri sana, bahati mbaya anakaa geita ila ningempa kura yangu! huyu apa
laiti kampeni za chadema zingekua ivi, tungekua na imani na uongozi
Avutaye ngozi, huvutia kwake.Nimekuwa nikifuatilia kampeni za wagombea wenza wa urais baina ya Salum Mwalimu (CHADEMA) dhidi ya Samia Suluhu (CCM) na kwa hakika kuna tofauti kubwa sana...
Hivi kweli ulishawahi kumsikia kwenye kampeni mama Samia Suluhu? Kama wewe ni mwanaCCM inaweza hata kumzomea kimoyomoyo. Yaani ni mwepesi sana.Kumbuka mama Samia ni makamu wa rais, anafanya mambo kwa heshima na utaratibu kulingana na hadhi yake, anaongea kwa hoja, anachagua cha kuongea, anajua aongee nini kutokana na watu anaokutana nao, hawezi kubwabwaja hovyo tu kama salum mwalimu.
Chama yetu hii banaaa imejaa tele mioyoni mwetu halafu muhuni mmoja na wahuni wenzie wanadhani eti wanaweza kuiua!!! Watasubiri sana!Nimekuwa nikifuatilia kampeni za wagombea wenza wa urais baina ya Salum Mwalimu (CHADEMA) dhidi ya Samia Suluhu (CCM) na kwa hakika kuna tofauti kubwa sana.
Nilijikita kuchambua kwenye mambo muhimu matano tu (Handira, Hamasa, Hoja, Ushawishi na Upeo). Bila shaka utagundua wazi kabisa kuwa, uwezo wa Salum Mwalimu kisiasa uko juu mnoo ikiwa utamlinganisha na Samia Suluhu katika hayo mambo matano. Yaani kampeni zimeshika kasi lakini Samia Suluhu ameshindwa kuwa gumzo katika majukwaa ya kisiasa wakati Magufuli yupo kwenye mapumziko ya kampeni.
Binafsi sioni faida ya Samia Suluhu katika kumsakia kura Magufuli. Amepwaya sana. Samia amekuwa kama kivuli kisichoonekana. Yaani Samia Suluhu kampeni zake zina Hadhira ndogo, Hamasa kidogo, Hoja zisizovutia wahudhuriaji, Ushawishi duni na Upeo mwenye kutia mashaka sana.
Mama Samia anakwama wapi?
Hivi kweli ulishawahi kumsikia kwenye kampeni mama Samia Suluhu? Kama wewe ni mwanaCCM inaweza hata kumzomea kimoyomoyo. Yaani ni mwepesi
Mamlaka yake yanaisha akiapishwa Rais na makamu mwingine,.makamo kivipi? si ndo tupo kwenye kampeni bado hawajachaguliwa , n mgombea mwenza tu kama wagombea wenza wengine.
hayo yako sasaMbona anayemuombea kura anabwabwaja tuu? Hujawahi kumsikiliza? Anatamani hadi wasichana apewe wa kulala nao?
huo ni mtazamo wakoNa Magufuli anayeongea kama katoka msalani je?
sawaHaijalishi hizo ulizotaja ndio zingempa uwezo wa ushawishi
Naam kama ilivyokuwa mtazamo wake niliye mquotehuo ni mtazamo wako
Naomba CCM wamuachie jimbo huyu dadaingawa mm ni ccm, ila yupo mgombea mmoja wa chadema amefanya kampeni nzuri sana, bahati mbaya anakaa geita ila ningempa kura yangu! huyu apa
laiti kampeni za chadema zingekua ivi, tungekua na imani na uongozi
Huyu bibi hana mvuto na wala hajui kujenga hojaNimekuwa nikifuatilia kampeni za wagombea wenza wa urais baina ya Salum Mwalimu (CHADEMA) dhidi ya Samia Suluhu (CCM) na kwa hakika kuna tofauti kubwa sana.
Nilijikita kuchambua kwenye mambo muhimu matano tu (Handira, Hamasa, Hoja, Ushawishi na Upeo). Bila shaka utagundua wazi kabisa kuwa, uwezo wa Salum Mwalimu kisiasa uko juu mnoo ikiwa utamlinganisha na Samia Suluhu katika hayo mambo matano. Yaani kampeni zimeshika kasi lakini Samia Suluhu ameshindwa kuwa gumzo katika majukwaa ya kisiasa wakati Magufuli yupo kwenye mapumziko ya kampeni.
Binafsi sioni faida ya Samia Suluhu katika kumsakia kura Magufuli. Amepwaya sana. Samia amekuwa kama kivuli kisichoonekana. Yaani Samia Suluhu kampeni zake zina Hadhira ndogo, Hamasa kidogo, Hoja zisizovutia wahudhuriaji, Ushawishi duni na Upeo mwenye kutia mashaka sana.
Mama Samia anakwama wapi?
Badala alee wajukuuHaaaaahaaaa yule mama unamkuta anazunguka kwa kutimiza wajibu tu! kodi zinatafunwa na hawa mchwa bils hata huruma kwa mvujajasho
una maoni kama yangu, ila sasa chama alichopo ndo tatizo! kuna watu wana hasira binafsi na CHADEMA mpaka uyu dada atashindwa kupitaNaomba ccm wamuachie jimbo huyu dada
Amekwama pale ulipoamuwa kuwa shabiki kama shabiki wa mpira. Kwa vile yeye ni CCM na wewe ni CHADEMA hata akijitahidi vipi utamuona amepwaya. Akiona mafikia mahali ambapo hata robo yake wewe hutakaribia, wewe endelea tu kumuonea wivu.Nimekuwa nikifuatilia kampeni za wagombea wenza wa urais baina ya Salum Mwalimu (CHADEMA) dhidi ya Samia Suluhu (CCM) na kwa hakika kuna tofauti kubwa sana.
Nilijikita kuchambua kwenye mambo muhimu matano tu (Handira, Hamasa, Hoja, Ushawishi na Upeo). Bila shaka utagundua wazi kabisa kuwa, uwezo wa Salum Mwalimu kisiasa uko juu mnoo ikiwa utamlinganisha na Samia Suluhu katika hayo mambo matano. Yaani kampeni zimeshika kasi lakini Samia Suluhu ameshindwa kuwa gumzo katika majukwaa ya kisiasa wakati Magufuli yupo kwenye mapumziko ya kampeni.
Binafsi sioni faida ya Samia Suluhu katika kumsakia kura Magufuli. Amepwaya sana. Samia amekuwa kama kivuli kisichoonekana. Yaani Samia Suluhu kampeni zake zina Hadhira ndogo, Hamasa kidogo, Hoja zisizovutia wahudhuriaji, Ushawishi duni na Upeo mwenye kutia mashaka sana.
Mama Samia anakwama wapi?