Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ninaita ushenzi kwakuwa ni matukio ambayo mtu mwenye akili timamu hawezi kuyashangilia wala kuyafanya.
Matukio ya kuuana na kutekana yapo worldwide ila kwa Tanzania kutekana kulirasimishwa rasmi 2015/2016 mara tu baada ya Magufuli kuingia madarakani.
Sasa wale vijana watekaji wapo bado pamoja na Magufuli kufa. Ni kama walipewa ruhusa rasmi . Watafanya watakufa, watastaafu na kuwarithisha wengine hiyo tabia
Wenyewe wanaona ni njia moja wapo ya kuchapa kazi na kumridhisha Rais.
Sasa watu wanatekwa ila kipindi cha Magufuli kutekwa ilikuwa ni jambo la kawaida mno.
Yule Mzee alaaniwe
Matukio ya kuuana na kutekana yapo worldwide ila kwa Tanzania kutekana kulirasimishwa rasmi 2015/2016 mara tu baada ya Magufuli kuingia madarakani.
Sasa wale vijana watekaji wapo bado pamoja na Magufuli kufa. Ni kama walipewa ruhusa rasmi . Watafanya watakufa, watastaafu na kuwarithisha wengine hiyo tabia
Wenyewe wanaona ni njia moja wapo ya kuchapa kazi na kumridhisha Rais.
Sasa watu wanatekwa ila kipindi cha Magufuli kutekwa ilikuwa ni jambo la kawaida mno.
Yule Mzee alaaniwe