Ushindani kati ya ngoma za Nigeria na ngoma za Kibongo

Ushindani kati ya ngoma za Nigeria na ngoma za Kibongo

ankai

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2017
Posts
3,282
Reaction score
4,251
Ni nyimbo gani ya kibongo ambayo kwa sasa tunaweza kuishindanisha na Buga ya kizz Daniel katika kipindi hiki ambacho Buga imetoka maana naona wabongo wengi wanalalamika kuwa hii ngoma inapendelewa emu niambie ni ngoma gani ya kibongo tunaweza kuishindanisha na Buga ya Kizz Daniel.
 
Eti wadau embu leteni aya mawazobyenu
 
Huu uzi umetelekezwa asee
 
Back
Top Bottom