Kabisa mkuu na ile battle nadhani ilimuathiri afande kisaikolojia mpaka leoProf na afande hapana
Afande amewah kushindana na solo kila mmoja akijiona ndio mkali wa ryme
Prof na afande hapana
Afande amewah kushindana na solo kila mmoja akijiona ndio mkali Afande alishindana na oten
Haikuwa battle ila ilikuwa reaction baada ya Sele kushinda mkali wa RhymesKabisa mkuu na ile battle nadhani ilimuathiri afande kisaikolojia mpaka leo