Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kampuni ya ndege ya Fastjet kesho itaanza safari zake kwa kutumia ndege mpya aina ya Embraer E190 na kuwatoa hofu wateja wake kutokana na ubora wa ndege hizo.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari na kufafanua kuwa ndege hiyo itazunguka katika safari kama zile za awali.
"Kampuni imeporomoka kiuchumi, ni muhimu kuendana na hali ilivyo hatuwezi kuacha kuhudumia watu. Tumeleta ndege mpya na kesho itaanza kazi rasmi," amesema Corse.
Corse alisema ujio wa ndege mpya zilizonunuliwa na Serikali aina Bombadier wanaichukulia kama changamoto katika sekta ya usafirishaji wa anga pia ni maendeleo makubwa.
"Wafanye maendeleo zaidi, waingie maeneo ambayo hatufiki sisi kama Mpanda, Musoma ili kuwafikia watu wengi zaidi,"
Chanzo:Mwananchi
Bado naamini hakuna abiria wa kushindanisha kwa "afya" makampuni matatu au zaidi ya ndege hapa nchini kwa safari za ndani.
Kama waliporomoka kiuchumi wakati ATCL hai-operate, leo hii wakianza kugawana abiria hali itakuwaje?
Mtafakari sana kwanini wanasema ATCL ifike kule ambako wao hawafiki(Mpanda,Musoma n.k).
Swali hapa ni je,sababu zinazowafanya wao wasifike huko haziwezi kuwafanya ATCL nao wasifike?Nani anapenda hasara?
Je,huu si mwanzo wa kubanana katika destination chache tu?
Unafikiri ni nini kitafuata hapo?
ATCL iwekeze zaidi katika safari za kimataifa kwa mtazamo wangu kama tunataka kufanikiwa.
Taarifa zaidi:
Kwa mujibu wa Channel habari za Biashara saa moja usiku huu,ndege hizi zina uwezo wa kubeba abiria 108 mpaka abiria 120.
Wameleta ndege 2 na ndege ya pili itawasili hivi karibuni.
Hayo yamesemwa na Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari na kufafanua kuwa ndege hiyo itazunguka katika safari kama zile za awali.
"Kampuni imeporomoka kiuchumi, ni muhimu kuendana na hali ilivyo hatuwezi kuacha kuhudumia watu. Tumeleta ndege mpya na kesho itaanza kazi rasmi," amesema Corse.
Corse alisema ujio wa ndege mpya zilizonunuliwa na Serikali aina Bombadier wanaichukulia kama changamoto katika sekta ya usafirishaji wa anga pia ni maendeleo makubwa.
"Wafanye maendeleo zaidi, waingie maeneo ambayo hatufiki sisi kama Mpanda, Musoma ili kuwafikia watu wengi zaidi,"
Chanzo:Mwananchi
Bado naamini hakuna abiria wa kushindanisha kwa "afya" makampuni matatu au zaidi ya ndege hapa nchini kwa safari za ndani.
Kama waliporomoka kiuchumi wakati ATCL hai-operate, leo hii wakianza kugawana abiria hali itakuwaje?
Mtafakari sana kwanini wanasema ATCL ifike kule ambako wao hawafiki(Mpanda,Musoma n.k).
Swali hapa ni je,sababu zinazowafanya wao wasifike huko haziwezi kuwafanya ATCL nao wasifike?Nani anapenda hasara?
Je,huu si mwanzo wa kubanana katika destination chache tu?
Unafikiri ni nini kitafuata hapo?
ATCL iwekeze zaidi katika safari za kimataifa kwa mtazamo wangu kama tunataka kufanikiwa.
Taarifa zaidi:
Kwa mujibu wa Channel habari za Biashara saa moja usiku huu,ndege hizi zina uwezo wa kubeba abiria 108 mpaka abiria 120.
Wameleta ndege 2 na ndege ya pili itawasili hivi karibuni.