cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Mar 19, 2023 #21 Dr Matola PhD said: Yajayo yanafurahisha, wale jamaa wana snake. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na sisi tutatoa chatuu.
Dr Matola PhD said: Yajayo yanafurahisha, wale jamaa wana snake. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na sisi tutatoa chatuu.
D dingi007 JF-Expert Member Joined Apr 14, 2018 Posts 853 Reaction score 1,330 Mar 19, 2023 #22 Mtanzanias said: Moto wa mabua ndio umtishe mamelod? Mkishindaga uwa mnakuwa na maneno meeengiii kama wauza karanga, kwaiyo kumfunga kibonde horoya ndio mmejiona bayern munich mnaanza kujilinganisha na mamelod! Click to expand... Na wewe ulikuepo kwenye mashindano haya,nini kilikufanya usifike makundi au nawe ulikua kibonde kwa uliyekutana nae
Mtanzanias said: Moto wa mabua ndio umtishe mamelod? Mkishindaga uwa mnakuwa na maneno meeengiii kama wauza karanga, kwaiyo kumfunga kibonde horoya ndio mmejiona bayern munich mnaanza kujilinganisha na mamelod! Click to expand... Na wewe ulikuepo kwenye mashindano haya,nini kilikufanya usifike makundi au nawe ulikua kibonde kwa uliyekutana nae