Elections 2010 Ushindi wa CCM Tarime wazua kizaazaa...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Kulingana na ITV CCM wameikomboa Halmashauri ya Tarime kwa kupata viti 18 vya madiwani na kuna vurugu kubwa huko. Vipo viti 30 tu............Ubunge na uraisi bado kutangazwa.........
 
Hii noma wanaianzisha wenyewe na itawacost
 
Kulingana na ITV CCM wameikomboa Halmashauri ya Tarime kwa kupata viti 18 vya madiwani na kuna vurugu kubwa huko. Vipo viti 30 tu............Ubunge na uraisi bado kutangazwa.........

tarime kama wameiba hakitaeleweka
 
Jimbo la mhimu sana hili aisee.Litarudi chadema bila shaka,
 
Duh..! nimesononeka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…