Pre GE2025 Ushindi wa kishindo kwa Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utachochewa na mgombea mwenza kuwa Dr. Nchimbi

Pre GE2025 Ushindi wa kishindo kwa Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utachochewa na mgombea mwenza kuwa Dr. Nchimbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
My friends ladies, and gentlemen..

Ni wazi,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kutamfanya achaguliwe tena kwa kishindo, kumalizia ngwe yake ya pili muhimu sana ya uongozi wa kitaifa kikatiba.

Kuaminika na kukubalika kwa Dr.Imannuel Nchimbi kwa wanainchi na waTanzania wote, kumechochea umoja na kuiimarisha CCM kwa kiasi kikubwa, huku ikiwakatisha tamaa na kuwadhoofisha wapinzani kwa kupoteza matumani kabisa ya kupata kiti hata kimoja kwenye uchaguzi mkuu wa udiwani, ubunge na hata URAIS.

Kuimarika, kuaminika na kukubalika kwa CCM kwa wananchi na waTanzania kwa ujumla, kama ilivyo sasa, ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi wa juu wa chama na serikali sikivu ya CCM, na ufanisi wa kiwango cha juu sana katika katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 kwa ubora na viwango vya kimataifa.

Mambo haya yataongeza kwa kiwango na uhakika wa ushindi wa kishindo kikuu, kwa wagombea udiwani, ubunge na urasi wa CCM Oct.2025.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🌹


Mungu Ibariki Tanzania
 
Mchimbi hana mvuto hauziki.
hakuna haja ya kuleta ushirikina hapa gentleman,

huo mvuto ni wa kimapenzi au?
Yaani wataalamu tunaeleza mambo ya kitaifa wewe unaendekeza mambo ya mvuto? alaaaa.

uongozi ni utumishi kwa umma sio kuuza sura, mvuto wa kimapenzi, mashindano ya urembo au biashara 🐒
 
My friends ladies, and gentlemen..

Ni wazi,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kutamfanya achaguliwe tena kwa kishindo, kumalizia ngwe yake ya pili muhimu sana ya uongozi wa kitaifa kikatiba.

Kuaminika na kukubalika kwa Dr.Imannuel Nchimbi kwa wanainchi na waTanzania wote, kumechochea umoja na kuiimarisha CCM kwa kiasi kikubwa, huku ikiwakatisha tamaa na kuwadhoofisha wapinzani kwa kupoteza matumani kabisa ya kupata kiti hata kimoja kwenye uchaguzi mkuu wa udiwani, ubunge na hata URAIS.

Kuimarika, kuaminika na kukubalika kwa CCM kwa wananchi na waTanzania kwa ujumla, kama ilivyo sasa, ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi wa juu wa chama na serikali sikivu ya CCM, na ufanisi wa kiwango cha juu sana katika katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 kwa ubora na viwango vya kimataifa.

Mambo haya yataongeza kwa kiwango na uhakika wa ushindi wa kishindo kikuu, kwa wagombea udiwani, ubunge na urasi wa CCM Oct.2025.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🌹


Mungu Ibariki Tanzania
Hakika ni ni Chama na wagombea wanaokubalika
 
Unajua maana ya Imani,Ni hakina ya mambo ya tarajiwayo, kama mkristo nakuuliza tena, Akifa je?
andikia uzi maalumu gentleman kwa faida ya wadau. Ni muhimu sana kwa sasa ukazingatia hoja mahususi mezani.

Asie na Imani hanaga mipango ya mwaka, hajui hata kesho yake itakuaje kwasabb anaishi kwenye mashaka?

Mbona umelipa kodi ya miezi sita ijayo hapo ulipopanga nyumba gentleman, ukifa je?

au gubu tu?

mbona benki hawakunyimi mkopo ambao utaulipa ndani ya miaka mi5?

kuwaza mauti ni ushirikina 🐒
 
Ushindi utategemea rushwa, policcm, na tumeccm! Kinyume na hapo, saa mbili tu asubuhi mambo yangekuwa ni tofauti kabisa.
 
My friends ladies, and gentlemen..

Ni wazi,
utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa zaidi ya 95% chini ya serikali sikivu ya CCM inayo ongozwa na rais kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan kutamfanya achaguliwe tena kwa kishindo, kumalizia ngwe yake ya pili muhimu sana ya uongozi wa kitaifa kikatiba.

Kuaminika na kukubalika kwa Dr.Imannuel Nchimbi kwa wanainchi na waTanzania wote, kumechochea umoja na kuiimarisha CCM kwa kiasi kikubwa, huku ikiwakatisha tamaa na kuwadhoofisha wapinzani kwa kupoteza matumani kabisa ya kupata kiti hata kimoja kwenye uchaguzi mkuu wa udiwani, ubunge na hata URAIS.

Kuimarika, kuaminika na kukubalika kwa CCM kwa wananchi na waTanzania kwa ujumla, kama ilivyo sasa, ni matokeo ya mabadiliko ya uongozi wa juu wa chama na serikali sikivu ya CCM, na ufanisi wa kiwango cha juu sana katika katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya 2020-2025 kwa ubora na viwango vya kimataifa.

Mambo haya yataongeza kwa kiwango na uhakika wa ushindi wa kishindo kikuu, kwa wagombea udiwani, ubunge na urasi wa CCM Oct.2025.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🌹


Mungu Ibariki Tanzania
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable Tlaatlaah na wengineo wameshindwa kazi.
 
andikia uzi maalumu gentleman kwa faida ya wadau. Ni muhimu sana kwa sasa ukazingatia hoja mahususi mezani.

Asie na Imani hanaga mipango ya mwaka, hajui hata kesho yake itakuaje kwasabb anaishi kwenye mashaka?

Mbona umelipa kodi ya miezi sita ijayo hapo ulipopanga nyumba gentleman, ukifa je?

au gubu tu?

mbona benki hawakunyimi mkopo ambao utaulipa ndani ya miaka mi5?

kuwaza mauti ni ushirikina 🐒

Mzee Mimi silipi kodi,
Mbona Magufuli alikua anasema nikifa mtanikumbuka? Au ndio Kikwete alisema wachawi washakufa.

kutopanga kifo ni ujinga.

Mwanaume lazima ujiulize nikifa leo familia yangu itabaki vipi ? Au bado unakaa nyumbani mzee na huna watoto
 
Mzee Mimi silipi kodi,
Mbona Magufuli alikua anasema nikifa mtanikumbuka? Au ndio Kikwete alisema wachawi washakufa.

kutopanga kifo ni ujinga.

Mwanaume lazima ujiulize nikifa leo familia yangu itabaki vipi ? Au bado unakaa nyumbani mzee na huna watoto
huo ni ushirkina gentleman,

kwahiyo ukiwa unazungumza na mwanao, ukimuuliza anataka kua nani akikujibu anataka kua daktari, halafu unamtandika hilo swali kwamba, ukifa je?🤣
 
Kuanza kurudi kwa ma propagandists wa siku nyingi humu jamvini kama makada Ritz Laki Si Pesa ni ushahidi tosha kuwa Chama cha Mapinduzi kina hali mbaya sasa. Hii inaonesha tu, hadi mitandaoni wameona watu wao kina Lucas Mwashamba ChoiceVariable Tlaatlaah na wengineo wameshindwa kazi.
Gentleman,
pasina shaka yoyote unaweweseka na ni dhahiri wewe pamoja na wangwana wengine kwa sababu ya chemistry ya Dr. Samia Suluhu Hassan na Dr.Emmanuel Nchimbi kuelekea Oct 2025🐒
 
Ushindi utategemea rushwa, policcm, na tumeccm! Kinyume na hapo, saa mbili tu asubuhi mambo yangekuwa ni tofauti kabisa.
Gentleman,
uchaguzi uliokua umegubikwa na rushwa ya kiwango cha juu zaidi kushuhudiwa Tanzania Tangu uhuru ni wa chadema majuzi 🐒
 
huo ni ushirkina gentleman,

kwahiyo ukiwa unazungumza na mwanao, ukimuuliza anataka kua nani akikujibu anataka kua daktari, halafu unamtandika hilo swali kwamba, ukifa je?🤣
Sasa mtoto mdogo anajua kifo ni nin?tena anaesema anataka kuwa Daktari.
 
Back
Top Bottom