Ushindi wa kishindo kwa Yanga na Milioni 10

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma, (Mb) akikabidhi zawadi ya Shilingi Milioni 10 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Nahodha wa Timu ya Yanga Bakari Mwamnyeto baada ya timu hiyo kuibuka na ushindi wa magoli 2 kwa 0 dhidi ya Real Bamako ya nchini Mali.

Mchezo huo uliochezwa Machi 8, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ni mfululizo wa mechi za Kombe la Shirikisho Barani Afrika.View attachment 2543285View attachment 2543286View attachment 2543287View attachment 2543288
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…