Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
Wakuu Habari zenu?
Nikianzia mechi ya juzi ya mtibwa na simba ambayo mtibwa alikufa 5 bila.
Ukiangalia namna simba alivyocheza na mtibwa utagundua vilabu vyetu bado havina huwezo wa kushindana kimataifa isipo kuwa simba peke yake.
Timu tofauti na simba haiwezi kupiga pasi kufikia kumi (hapo nimezidisha sana hiyo idadi )sasa kama ndio hivyo hayo magoli utafungaje?
Mechi ya simba na mtibwa kuna muda Nilikuwa naona mtibwa wanaanzia nyuma mpira ,kipa anaanzisha nyuma lakini hawafikishi pasi kumi wanakuwa huo mpira wameshawapa simba,sio simba kuwakaba wenyewe wanakuwa wanaupoteza.
Na Kuna muda mwingine pia wanakuwa wanaweka mpira chini wapige pasi washindane na simba,nikawa nacheka mwenyewe maana Hapo kwa mkapa al ahly mwenyewe kashindwa kupiga pasi utakuja kuweza wewe mtibwa? Nikaona wanatimiza wajibu tu kwamba walicheza na simba tu basi,ila wanachokifanya uwanjani hakuna kitu yaani hakiwezi kuwatisha simba wakaondoka na point 3.
Kwa sasa mechi za simba dhidi ya timu yoyote ile itatoa picha ya vilabu vingine kuonekana mazoezini
wanakuwaga wanapanga koni tu maana hivyo vilabu haviwezi kupiga pasi kumi wanaishiaga pasi 6 tu mpira wanapoteza.
Kwa sasa timu zetu ukindoa simba zinatakiwa kuiga kwa simba ,ule mpira wa kurusha ndege(kubutua mbele tu) umepitwa Na wakati .mpira kwa sasa unanjia zake(mpira ni science) kwa simba inavyocheza itaendelea kutawala soka la bongo mpaka wenyewe waseme basi.
Kwa sasa simba anavyocheza hakuna mechi ngumu kwake kwa sababu anafata njia za mpira unatakiwa uchezejwe? Na hakuna timu inayocheza mpira wa kueleweka mpaka kwenda kufunga .simba inacheza kama man city,ana cheza kama Psg ,anacheza kama liverpool,anacheza kama Real Madrid anacheza kama timu zingine za ulaya,wakati timu zingine zimebaki na kupanga koni kwenye mazoezi na kwenye mechi kupiga mpira mbele tu,
timu zingine tofauti na simba haziwezi kukaa na mpira wala kupiga hata pasi 7 tu haiwezi.sasa hizo timu zikicheza na simba zinatoa picha na kudhiirisha ubovu wa timu zetu tofauti na simba timu zetu za kwenye ligi yetu haziwezi kufika mbali kimataifa.mpaka zibadilike.
Ni hayo tu Wakuu.
Nikianzia mechi ya juzi ya mtibwa na simba ambayo mtibwa alikufa 5 bila.
Ukiangalia namna simba alivyocheza na mtibwa utagundua vilabu vyetu bado havina huwezo wa kushindana kimataifa isipo kuwa simba peke yake.
Timu tofauti na simba haiwezi kupiga pasi kufikia kumi (hapo nimezidisha sana hiyo idadi )sasa kama ndio hivyo hayo magoli utafungaje?
Mechi ya simba na mtibwa kuna muda Nilikuwa naona mtibwa wanaanzia nyuma mpira ,kipa anaanzisha nyuma lakini hawafikishi pasi kumi wanakuwa huo mpira wameshawapa simba,sio simba kuwakaba wenyewe wanakuwa wanaupoteza.
Na Kuna muda mwingine pia wanakuwa wanaweka mpira chini wapige pasi washindane na simba,nikawa nacheka mwenyewe maana Hapo kwa mkapa al ahly mwenyewe kashindwa kupiga pasi utakuja kuweza wewe mtibwa? Nikaona wanatimiza wajibu tu kwamba walicheza na simba tu basi,ila wanachokifanya uwanjani hakuna kitu yaani hakiwezi kuwatisha simba wakaondoka na point 3.
Kwa sasa mechi za simba dhidi ya timu yoyote ile itatoa picha ya vilabu vingine kuonekana mazoezini
wanakuwaga wanapanga koni tu maana hivyo vilabu haviwezi kupiga pasi kumi wanaishiaga pasi 6 tu mpira wanapoteza.
Kwa sasa timu zetu ukindoa simba zinatakiwa kuiga kwa simba ,ule mpira wa kurusha ndege(kubutua mbele tu) umepitwa Na wakati .mpira kwa sasa unanjia zake(mpira ni science) kwa simba inavyocheza itaendelea kutawala soka la bongo mpaka wenyewe waseme basi.
Kwa sasa simba anavyocheza hakuna mechi ngumu kwake kwa sababu anafata njia za mpira unatakiwa uchezejwe? Na hakuna timu inayocheza mpira wa kueleweka mpaka kwenda kufunga .simba inacheza kama man city,ana cheza kama Psg ,anacheza kama liverpool,anacheza kama Real Madrid anacheza kama timu zingine za ulaya,wakati timu zingine zimebaki na kupanga koni kwenye mazoezi na kwenye mechi kupiga mpira mbele tu,
timu zingine tofauti na simba haziwezi kukaa na mpira wala kupiga hata pasi 7 tu haiwezi.sasa hizo timu zikicheza na simba zinatoa picha na kudhiirisha ubovu wa timu zetu tofauti na simba timu zetu za kwenye ligi yetu haziwezi kufika mbali kimataifa.mpaka zibadilike.
Ni hayo tu Wakuu.