Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,915 Reaction score 5,038 Mar 27, 2010 #1 Wakuu hii mechi vp ni leo ni kesho. Mbona kimya sana mwenye updater pls.
Ben Saanane JF-Expert Member Joined Jan 18, 2007 Posts 14,580 Reaction score 18,193 Mar 27, 2010 #2 Mechi ya stars vipi wakuu?
senator JF-Expert Member Joined Aug 9, 2007 Posts 1,924 Reaction score 66 Mar 27, 2010 #3 Mechi imekwisha starz kashinda 6 bilaa wale wasomali wamekuja kuzamia nchini hakuna timu pale
RayB JF-Expert Member Joined Nov 27, 2009 Posts 2,751 Reaction score 200 Mar 27, 2010 #4 Taifa stars leo walijiokotea libonde wao 6 bila mh
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 4,998 Mar 27, 2010 #5 Naona wamembaka kiwete. Subirini mechi nyingine ndo tuwakubali manake hawa alshabab kwanza wananjaa halafu kiu.
Naona wamembaka kiwete. Subirini mechi nyingine ndo tuwakubali manake hawa alshabab kwanza wananjaa halafu kiu.
saitama_kein JF-Expert Member Joined Oct 29, 2009 Posts 981 Reaction score 99 Mar 27, 2010 #6 Haaahaaa............Stars bwana?!!
kakuruvi JF-Expert Member Joined Sep 2, 2009 Posts 770 Reaction score 258 Mar 29, 2010 #7 Tuna muda mrefu sana timu yetu ya Taifa haijawahi kupata ushindi wa mabao mengi kama wa mechi ya juzi je! wana JF mnamaoni gani kuhusu mchezo wenyewe na timu zilizoshiriki, ni ushindi wa kujivunia kwa Taifa Stars?
Tuna muda mrefu sana timu yetu ya Taifa haijawahi kupata ushindi wa mabao mengi kama wa mechi ya juzi je! wana JF mnamaoni gani kuhusu mchezo wenyewe na timu zilizoshiriki, ni ushindi wa kujivunia kwa Taifa Stars?