Ushindi wa Tundu Lissu umenikumbusha Siku Mzee Marando alivyompokea Lyatonga Mrema pale NCCR Mageuzi na kumlazimisha Nyerere kurejea Siasani!

Ushindi wa Tundu Lissu umenikumbusha Siku Mzee Marando alivyompokea Lyatonga Mrema pale NCCR Mageuzi na kumlazimisha Nyerere kurejea Siasani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hata sasa sitashangaa Mzee Kikwete akirudi Siasani kwani upepo wa Siasa umeshabadilika

Namuona Tundu Lisu akiilazimisha CCM kuachana na Siasa za Uchawa na kuingia kwenye Siasa halisi kama enzi za TANU

Aidha CHADEMA itakimbiwa na Wasaka Fursa aina ya Yericko Nyerere na Wenje na watabaki Wapambanaji akina Twaha Mwaipaya ninayemtabiria kuchukua nafasi ya Tumaini Makene iliyoachwa Wazi kufuatia Msemaji yule wa CHADEMA kuhamia CCM

Lisu ameweka Wazi kuwa Zanzibar siyo kipaumbele chake kwa sababu Nchi ile ina Siasa za kihistoria za vyama viwili. Endapo Lisu na OMO wataingia mkataba wa Ushirikiano Siasa za Tanganyika na Zanzibar zitaingia kwenye ugumu zaidi

Tunaishi kwenye kizazi cha kuhoji kuanzia huko Chekechea hivyo Lisu atasaidiwa na Ukweli wake japo CHADEMA bado ni Kichuguu mbele ya Mlima CCM

Nasi CCM ni lazima tukubali ujio wa Lisu na Heche unaenda kutupa experience mpya tukatae Machawa na tujenge Kizazi cha uvccm wanaojitambua

Ahsanteni sana 😄
 
Hata sasa sitashangaa Mzee Kikwete akirudi Siasani kwani upepo wa Siasa umeshabadilika

Namuona Tundu Lisu akiilazimisha CCM kuachana na Siasa za Uchawa na kuingia kwenye Siasa halisi kama enzi za TANU

Aidha CHADEMA itakimbiwa na Wasaka Fursa aina ya Yericko Nyerere na Wenje na watabaki Wapambanaji akina Twaha Mwaipaya ninayemtabiria kuchukua nafasi ya Tumaini Makene iliyoachwa Wazi kufuatia Msemaji yule wa CHADEMA kuhamia CCM

Lisu ameweka Wazi kuwa Zanzibar siyo kipaumbele chake kwa sababu Nchi ile ina Siasa za kihistoria za vyama viwili. Endapo Lisu na OMO wataingia mkataba wa Ushirikiano Siasa za Tanganyika na Zanzibar zitaingia kwenye ugumu zaidi

Tunaishi kwenye kizazi cha kuhoji kuanzia huko Chekechea hivyo Lisu atasaidiwa na Ukweli wake japo CHADEMA bado ni Kichuguu mbele ya Mlima CCM

Nasi CCM ni lazima tukubali ujio wa Lisu na Heche unaenda kutupa experience mpya tukatae Machawa na tujenge Kizazi cha uvccm wanaojitambua

Ahsanteni sana 😄
1000021097.jpg
 
Back
Top Bottom