JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
Kwa kuwa rangi za jezi za timu ya yanga ni kajani na njano ambazo pia ni za CCM,natilia shaka kuwa ndio dalili njema kwa ushindi wa CCM katika uchaguzi utakaofanyika tar 30/10/2010.jamani ni maoni yangu tu hayo....