Ushindi wa Yericko Nyerere huko Afrika Kusini ni uthibitisho wa ubaguzi wa watawala wetu kwa Watanzania wasio CCM

Ushindi wa Yericko Nyerere huko Afrika Kusini ni uthibitisho wa ubaguzi wa watawala wetu kwa Watanzania wasio CCM

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Ndugu wanajamvi,

Pokeeni salamu zangu kutoka huku kwetu ORKEJU LOONGISHU wilayani Longido mpaka ulio karibu kabisa na Kenya.

Leo usiku uliopia tumemshuhudia Mwaandishi wa Vitabu mashuhuru na mwenye kipaji cha kipekee nchini mwetu na Mwanasiasa maarufu na mwanachama wa chama.kikuu cha upinzani ambacho kinatunyima mimi na makada wenzangu wa CCM Usingizi akiwepi MAKALA ,Kichawa Lucas Mwashambwa na wengine wengi

Ndugu yetu Yeriko Nyerere akishinda kwa mara nyingine tena mwaandishi wa vitabu bora Africa kwa Tuzo Mbili kwa mpigo.

Cha kusikitisha ni hakuna hata kiongozi kutoka mamlakani aliyeonyesha kufurahishwa na jambo hili wala chombo cha habari cha ndani kuarifu watanzania wazalendo kuhusu ushindi huu mkubwa wa mtanzania mwenzetu, wenye kuleta heshima kwa taifa letu zaidi ya MWANANCHI GAZATTE.
Ninachotaka kusema.

Watawala muache double standards.

Kuna zaidi ya utaifa na utanzania wetu.

Itikadi ni sehemu tuu ya maisha, Lkn utaifa wetu ni kitu cha msingi sana

Angeshinda mabilioni akaaa kila mtuu angekuja ooo sisi ni wetu.

Credit to Mwananchi communication Ltd 👏

Kudos Yeriko Nyerere.

Screenshot_20241201_102629_Instagram.jpg
 
Huyo mmiliki wa Zikomo amelala kwa Yericko kwa karibu wiki nzima, huko Mbutu, Kigamboni, sasa unatarajia nini? Kama sio mlungula
 
Yeriko sio mwandishi. Kitabu chake cha Ujasusi ni copy & paste ya makala za watu hasa Mzee Joseph Mihangwa. Hastahili kupewa hiyo tuzo. Pia siku chache kabla ya tuzo mmiliki wa tuzo za Zikomo alikuwa mgeni wa Yeriko huko Mbutu.
 
Yeriko sio mwandishi. Kitabu chake cha Ujasusi ni copy & paste ya makala za watu hasa Mzee Joseph Mihangwa. Hastahili kupewa hiyo tuzo. Pia siku chache kabla ya tuzo mmiliki wa tuzo za Zikomo alikuwa mgeni wa Yeriko huko Mbutu.
Mtumeni Mwashambwa aandike vitabu Lumumba mpate mwakilishi Bora.
 
Sijui nafeli wapi, kitabu chake cha UJASUSI WA KIUCHUMI sijakimaliza kukisoma mpaka leo tokea mwaka 2022.
Unakosa uhondo ndugu mwana JF. Ukimaliza kusoma hicho cha Ujasusi wa Dola na Uchumi, soma na kitabu chake kingine cha Mtu baada ya Mtu.
 
Yeriko sio mwandishi. Kitabu chake cha Ujasusi ni copy & paste ya makala za watu hasa Mzee Joseph Mihangwa. Hastahili kupewa hiyo tuzo. Pia siku chache kabla ya tuzo mmiliki wa tuzo za Zikomo alikuwa mgeni wa Yeriko huko Mbutu.
Huu ni wivu wa hovyo.
 
Afic
Yeriko sio mwandishi. Kitabu chake cha Ujasusi ni copy & paste ya makala za watu hasa Mzee Joseph Mihangwa. Hastahili kupewa hiyo tuzo. Pia siku chache kabla ya tuzo mmiliki wa tuzo za Zikomo alikuwa mgeni wa Yeriko huko Mbutu.
Africa isijue kuwa hiyo ni copy & paste uje ujue wewe?
 
Back
Top Bottom