Wanaifahamu kutokana na level iliyopo. Hata Yanga inafahamika na TFF na GSM wenyewe kwa uchawi ndio maana Djuma Shabani aliambiwa akatoe alivyofukia wa LupasoUzuri CAF wanafahamu timu ya wachawi ni timu ipi?
CAF wanaifahamu timu gani kwa uchawi?Wanaifahamu kutokana na level iliyopo. Hata Yanga inafahamika na TFF na GSM wenyewe kwa uchawi ndio maana Djuma Shabani aliambiwa akatoe alivyofukia wa Lupaso
Kama vile Mwalimu Nyerere na Isaac Newton walivyopata umaarufu, au sio?Yaah ni kweli mkuu coz watu hupata umaarufu mkubwa kwa kufanya vitu vya kijinga na kipumbavu,
•Famous-Maarufu kwa mambo mazuriKama vile Mwalimu Nyerere na Isaac Newton walivyopata umaarufu, au sio?
Famous kwa kufika robo fainali ya CAF Club Leagues mara kwa mara. Wengine wa bongo hii are neither famous nor notorious•Famous-Maarufu kwa mambo mazuri
•Notorious-Maarufu kwa mambo ya kipumbavu hasa uchawi
Sijajua nyie mpo kwenye kundi gani?
Yaah nimeelewa maarufu kwa kufika robo final kwa kutumia uchawiFamous kwa kufika robo fainali ya CAF Club Leagues mara kwa mara. Wengine wa bongo hii are neither famous nor notorious
Mnatamani sana maana mara ya mwisho mliposhiriki makundi imeshapita miaka mingi, na mlishika mkia mara zote. Nakumbuka Raja casablanca aliichapa Yanga goli 6-0, na wakamaliza makundi wakiwa wamecheza mechi 6 na kuruhusu magoli 19. Ukibisha naleta msimamo wa kundi. au sijui nilete kabisa! Ngoja nileteYaah nimeelewa maarufu kwa kufika robo final kwa kutumia uchawi
Big congrats
Daaah! Ni kweli kabisa Mzee bila uchawi huko hatuwezi kutoboaMnatamani sana maana mara ya mwisho mliposhiriki makundi imeshapita miaka mingi, na mlishika mkia mara zote. Nakumbuka Raja casablanca aliichapa Yanga goli 6-0, na wakamaliza makundi wakiwa wamecheza mechi 6 na kuruhusu magoli 19. Ukibisha naleta msimamo wa kundi. au sijui nilete kabisa! Ngoja nilete
simba mlikuwa na mechi kirumba tuanzie hapoMimi nashangaa kweli soka letu la bongo, Yanga wanaelekea kutwaa ubingwa msimu huu lakini mara baada ya mpira kuisha, wakaanza kufukia vitu uwanjani.
Makomandoo wa Simba walipoona hivyo, wakazama uwanjani na mwenda kuchimbia vya kwao, sasa najiuliza Yanga anasema ana timu nzuri haijapata kutokea, ushirikina wa nn sasa, we c unajua soka, mambo ya kalungayeye ya nini?
Simba nao wametoka kushiriki ligi ya mabingwa lakini kila kukicha mambo ya kufukiza ndio hayo hayo.
Simba na Yanga wote vichaka vya wapigaji tu
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]TANGU MZEE MPILI AWATAPELI YANGA, SINA HAMU TENA NA UCHAWI KATIKA SOKA.
Wale walopita mlango wa nyuma lake Tanganyika Kigoma, na bado wakafungwaUmezunguka sana
Ilitakiwa uwataje wachawi mpaka CAF wanajulikana mbona?
imaelekea hata mpira we hujui, ungekuwa unaujuabusingeandika hilo bandiko lakoMimi nashangaa kweli soka letu la bongo, Yanga wanaelekea kutwaa ubingwa msimu huu lakini mara baada ya mpira kuisha, wakaanza kufukia vitu uwanjani.
Makomandoo wa Simba walipoona hivyo, wakazama uwanjani na mwenda kuchimbia vya kwao, sasa najiuliza Yanga anasema ana timu nzuri haijapata kutokea, ushirikina wa nn sasa, we c unajua soka, mambo ya kalungayeye ya nini?
Simba nao wametoka kushiriki ligi ya mabingwa lakini kila kukicha mambo ya kufukiza ndio hayo hayo.
Simba na Yanga wote vichaka vya wapigaji tu