USHIROMBO: Mwanafunzi ajinyonga ikidaiwa hakutaka kuendelea na masomo

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Mwanafunzi wa kidato cha PILI katika shule ya sekondari ya DOTTO BITEKO,

Kijana MATHEW PETRO mwenye umri wa miaka 17 amejinyonga mpaka kufa

Taarifa kutoka kwa mwanafunzi mwenzake aliekuwa akisoma nae amesema sababu ya kijana MATHEW PETRO kuchukua uamuzi wa kujitoa uhani ni KULAZIMISHWA KUSOMA ikiwa hataki kuendelea na masomo,

Msiba upo nyumbani kwao karibu na msikiti ulio karibu na LA VILLAGE na anatarajiwa kuzikwa jumatatu ,

MANI ALAUMIWE ?
 
Ona sasa tumepoteza kipaji kwenye fani ya ufundi, michezo, sanaa, nk! Unamlazimisha mtoto kusoma elimu ya kukariri, na isiyo msaidia chochote kwenye maisha yake kwa miaka minne!

Na wakati mtoto huyo huyo angeenda ufundi stadi, angekuwa bonge la fundi kwenye jamii yake.
 
Mtu anaangalia wazazi nanwajomba zake wanalewa kuanzia asubuhi mpaka jioni,anaona anapoteza muda
 
Kanda ya Ziwa
 
Akuna lolote angekua fundi maiko tu.
 
Hii tabia ya kuitaita shule majina ya wanasiasa liangaliwe upya.
 
Hii sababu ya kifo chake bado sijaridhika nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…