Ushoga Chini ya Zuria....!!!!!

palangana

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2017
Posts
506
Reaction score
449
Salam wanajamvi;
Natumai kuna waliotazama mechi za weekend hii iliyoisha jana. Je, kuna walioelewa maana ya rangi zilizowekwa kwenye vitambaa vya nahodha(Captains), kamba za viatu na mipira iliyotumika?
Nimesoma mahali kuwa ni rangi za bendera ya LGBT, ila kampeni ya weekend ilikuwa "Games for everyone". Nakumbuka kuna mchezaji alitamka hadharani kuwa kuigiza "porn" kunamlipa kuliko mpira wa miguu, ALIFUNGIWA. Sasa sijui na hili limekaa vipi au viongozi EPL hawakulielewa?
 

Attachments

  • 2018-12-03 08.16.14.jpg
    76.8 KB · Views: 57
  • 2018-12-03 08.15.28.jpg
    92.6 KB · Views: 57
  • Screenshot_2018-12-03-08-16-28.png
    74.9 KB · Views: 56
Wakibadilisha rangi hizo wakaweka kijan na njano, wengi tutahania upinzani
 
Mtu anayechukia ushoga wakati huo anafuatilia ya ushoga...Hata yeye ni shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…