#COVID19 USHUHUDA: Chanjo ya Corona imeniondolea pumu

#COVID19 USHUHUDA: Chanjo ya Corona imeniondolea pumu

Varbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,121
Reaction score
885
Ni mmoja wa watu wanaishi na Pumu aka Athma. Kama mnavojua ugonjwa huu hauambukizi, Mimi Nimekua nao maisha yote! Mama yangu anasema nilipokua mdogo ilikua inanisumbua sana lkn katika maisha yangu ya teenager hadi miaka ya 20-30+ ilikua inatokea marachache sana lkn kadiri umri ulivokua unasogea nayo ikapamba moto nakumbuka miaka mitatu nyuma Dr alinishauri nitumie spray inhalator mara mbili

Kwa siku Kwani ilikua inapunguza volume ya mapafu yangu! Sikupenda hii njia lkn ilibidi maana nilikua hata nikitembea kwa haraka pumzi inakata!! Basi nikaendelea kutumia na Dr aliniambia nitafanya hivo kwa maisha yote! Lilivokuja janga la corona watu waliokua kwenye risk ni wale wenye magonjwa Kama ya asthma nikajiuliza nitatoboa kweli likinifika! Basi chanjo ilipopatikana na enzi za mwenda zake kukataa mambo ya chanjo ikabidi niifate Dubai!

Ilikua March nikachoma ya kwanza nikarudi baada ya wiki tisa!Nilipochoma chanjo ya kwanza nilijisikia ahueni flan hivi ya kifua kubana kama sikutumia dawa! Baadae nikawa nakaa hata siku tatu! Mimi nilichanja Astra zeneca!

Basi baada ya wiki tisa nikarudi kuchanja na ya pili kwakweli sijatumia tena dawa yangu ya asthma na sijapatwa na dalili yoyote tokea mwezi wa tano tarehe mbili nilipomaliza chanjo zote za corona! Huo ni ushuhuda wangu sijui kama nimepona kbs au ni nafuu ya muda tu!
image-2021-08-03-12:34:16-843.jpg
 
Pole sana Mkuu ila ni vizuri ukaenda Hospitali kufanya check up,
Pia hongera kwa kujali afya yako.
 
Basi itamkwe tu kuwa chanjo hizo ni zadii ya 'Uvika' kama ilivyokusudiwa. Maana kuna al-Ustaadhi maarufu sana 'Dalisalama' yeye alivyo chanja tu akaja na khabari njema;

Eti, 'mambo fulani' nyumbani yameboreka zaidi,
Akaendelea kwa kusema anaetaka ushahidi akaulize nyumbani.

Nashangaa hadi leo hakuna wanahabari waliolifuatilia hilo ili tupate mrejesho wa uhakika.
 
Kuna mheshimiwa balozi mmoja naye anadai toka achanje akinywa glass moja ya maji anampampu wife wake masaa mawili.Kwa kifupi inaongeza nguvu za kiume na pumzi.
 
Kuna mheshimiwa balozi mmoja naye anadai toka achanje akinywa glass moja ya maji anampampu wife wake masaa mawili.Kwa kifupi inaongeza nguvu za kiume na pumzi.

Mkuu are u serious?

Kwa mutu anaewai kufika kirereni akipata chanjo anatake time kufika?
 
Subiri angalau mwaka ndio uweze kutoa tathmini nzuri ya afya yako. Lakini hadi sasa nakupingeza. Najua Athma ni ugonjwa unaosumbua sana.
 
Semeni chanjo inatibu nguvu za kiume, hapo mtawapata wengi
 
Back
Top Bottom