[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakuu hizi dawa sio mchezo, acheni tu ngono zembe usifanye kwa makusudi. Halafu utegemee umeze hizo dawa ni balaa, zinapelekesha vibaya mno, mateso yake ni kama unataka kukata roho. Zinatesa mno unakua zaidi ya mgonjwa wakati mtu huna hata unachoumwa zaidi ya kuhitaj tu kujikinga.
Mimi zimenishinda nimemeza siku nne tu balaa lake ikanilazimu nianze kumsaka yule niliyekua na mashaka naye kwa gharama yoyote mpaka nikampata nikaenda kumpima ili nihakikishe nashukuru yuko poa na madawa yenyewe nikayatupilia mbali
Tumieni kondomu au wapimeni kabla ya kuwala, vipimo siku hizi elfu mbili tu.
Hizo dawa siwashauri
Ulikuwa umameza TLD?Wakuu hizi dawa sio mchezo, acheni tu ngono zembe usifanye kwa makusudi. Halafu utegemee umeze hizo dawa ni balaa, zinapelekesha vibaya mno, mateso yake ni kama unataka kukata roho. Zinatesa mno unakua zaidi ya mgonjwa wakati mtu huna hata unachoumwa zaidi ya kuhitaj tu kujikinga.
Mimi zimenishinda nimemeza siku nne tu balaa lake ikanilazimu nianze kumsaka yule niliyekua na mashaka naye kwa gharama yoyote mpaka nikampata nikaenda kumpima ili nihakikishe nashukuru yuko poa na madawa yenyewe nikayatupilia mbali
Tumieni kondomu au wapimeni kabla ya kuwala, vipimo siku hizi elfu mbili tu.
Hizo dawa siwashauri
Sio ARV ndugu ni dawa mbili tofauti
Sent from my iPhone using JamiiForums
Imeisha hiyo π€£ π€£ π€£ π€£π€£π€£π€£πππ€£ kama nakuona vilee..
Vumbi la kongo ukajiona wew mjanja, umefanya mapenz pekupeku na kahaba then ukanywe PEP...
Soma hiyo...
hizo ni pep za zamani.. regime ya sasa hivi unameza kama panadol tu. Yaani husikii chochote kabisa.
Hapo unaposema Kila ukimwangalia humsomi unamaanisha nini?Eti kama panadol acha mabo yako...mwezi february nilimeza baada ya kujichomana sindano wakati namshona mtu,halafu mwamba hataki kupima na kila nikimwangalia simsomi ..nikaamua tu kutumia PEP,tofauti niliyoiona zile PEP za mwaka 2018 nilizotumia nilteseka sana usiku ndoto mbaya ,kuchoka ,kupoteza hamu ya kula na usingizi nk ila hizi za sasa nilimeza usiku nikalala fresh ilipofika asubuhi nilikua natapika na kuharisha kichwa kuuma na kizunguzungu aisee nilimeza siku mbili nikaacha nikasema namuachia Mungu nakumbuka ile siku waliniwekea drip mbili maana niliharisha mno na kutapika.
Sasa miezi minne niko safi Mungu mwema.
HahahaDuh,Mkuu wewe ni Mwalimu Mkuu?umekua mkali mpaka nimeingia ubaridi.. π
Hapo unaposema Kila ukimwangalia humsomi unamaanisha nini?
Mimi tu ndo bado