Ni wale wenye kazi nzuri ndio wanaopiga upatu mujiajiri, mujiajiri, mujiajiri, huku watoto wao wakiwaajiriKilio cha watu wengi kukosa ajira kilipokuwa kikubwa tuliambiwa tukajiajiri,mzee nikasema isiwe shida ngoja nijiajiri yawezekana huko ndiko utajiri ulipojificha.
Nikawaza nifanye nini,nikakumbuka Jembe halimtupi mtu tena washairi walisema kama mnataka mali mtaipata shambani. Nikajipanga nikaitafute mali shambani.
Sikuwa na mtaji hapo mwanzo,nikajibana nikapata sh kama milioni kasoro elfu 25 yaan nilikuwa na sh 975000/=. Nikashawishiwa kuingia kwenye tikiti.
Mambo yalienda vizuri,mwezi wa kwanza mazao yako vizuri,wa pili katikati ulikuja ugonjwa gani jamani daaahhhh. Ule ugonjwa Kama ulitumwa vile kumaliza hata ule mtaji mdogo niliokuwa nao tena niliojibana kwa mda mrefu.
Sikuamini ndani ya wiki moja ugonjwa ulikula mazao yote,yaani mpaka majani. Dawa zote zilidunda. Asikwambie mtu,pale ndipo nilipojua hasara inauma mazeee. Niliumia kupita maelezo ukizingatia sikuwa na pesa nyingine.
Niliyumba sio siri,nimeishi maisha ya shida sana hapo kati. Sasa hivi nina madeni kama laki tatu hivi.
Nimegundua wanaosema tukajiajiri ni wale wasiokuwa na uelewa ni jinsi gani huku kuna changamoto. Kuna kufirisika huku tena ule mtaji kidgo nao hupotea.
Asikwambie mtu hasara inauma jamani,ni noma.
Sijafa moyo,nikijipanga nitatafuta mishe nyingine.
Ni kweli aiseee serikali naona kama haijajitahid sana kuwekeza kwenye kilimo haswa tafiti na namna ya kupambana na wadudu na wagonjwa...Ni aibu serikali kushindwa kutawanya wataalamu wa kilimo japo kila tarafa ili wawazungukie wakulima wa maeneo yao nakutoa ushauri wa haraka bure. Wakulima wengi wanaishi kupata hasara kwakutokujua mbinu sahihi za kilimo mfano wapande mbegu gani, muda gani, dalili za magonjwa mbalimbali na dawa zake za kuzuia au kutibu, udongo, mbolea na matumizi yake sahihi n.k. Matokeo yake mkulima anaishia kununua kila aina ya dawa anayoambiwa na watu hasa wenye maduka ya pembejeo bila kujua kuwa wengi wao wapo kibiashara ili wauze dawa hasa zile ambazo ni ghali hatakama siyo ya ugonjwa huo na pia kipimo hakizingatiwi. Ni aibu kwakweli. Wakati huo kuna wataalamu wa kilimo wapo tuu mtaani wakifanya mambo yao private. Ifike mahali sekta hii nayo iangaliwe kama wanavyoangalia shule ambazo hazina waalimu au vitu vya afya ambavyo havina wahudumu wa afya. Pole sana ndugu.
mkuu next time jaribu kuwa middle man utafanikiwa mkuu , Ukiwa mkulima usifuate mkumbo kuwa specific and strategicall.Siku zote usifanye biashara ambayo kila mtu anafanya hasa hii ya watu kushauriana ujinga kwenye magroup ya whatsupKilio cha watu wengi kukosa ajira kilipokuwa kikubwa tuliambiwa tukajiajiri,mzee nikasema isiwe shida ngoja nijiajiri yawezekana huko ndiko utajiri ulipojificha.
Nikawaza nifanye nini,nikakumbuka Jembe halimtupi mtu tena washairi walisema kama mnataka mali mtaipata shambani. Nikajipanga nikaitafute mali shambani.
Sikuwa na mtaji hapo mwanzo,nikajibana nikapata sh kama milioni kasoro elfu 25 yaan nilikuwa na sh 975000/=. Nikashawishiwa kuingia kwenye tikiti.
Mambo yalienda vizuri,mwezi wa kwanza mazao yako vizuri,wa pili katikati ulikuja ugonjwa gani jamani daaahhhh. Ule ugonjwa Kama ulitumwa vile kumaliza hata ule mtaji mdogo niliokuwa nao tena niliojibana kwa mda mrefu.
Sikuamini ndani ya wiki moja ugonjwa ulikula mazao yote,yaani mpaka majani. Dawa zote zilidunda. Asikwambie mtu,pale ndipo nilipojua hasara inauma mazeee. Niliumia kupita maelezo ukizingatia sikuwa na pesa nyingine.
Niliyumba sio siri,nimeishi maisha ya shida sana hapo kati. Sasa hivi nina madeni kama laki tatu hivi.
Nimegundua wanaosema tukajiajiri ni wale wasiokuwa na uelewa ni jinsi gani huku kuna changamoto. Kuna kufirisika huku tena ule mtaji kidgo nao hupotea.
Asikwambie mtu hasara inauma jamani,ni noma.
Sijafa moyo,nikijipanga nitatafuta mishe nyingine.
Kilio cha watu wengi kukosa ajira kilipokuwa kikubwa tuliambiwa tukajiajiri,mzee nikasema isiwe shida ngoja nijiajiri yawezekana huko ndiko utajiri ulipojificha.
Nikawaza nifanye nini,nikakumbuka Jembe halimtupi mtu tena washairi walisema kama mnataka mali mtaipata shambani. Nikajipanga nikaitafute mali shambani.
Sikuwa na mtaji hapo mwanzo,nikajibana nikapata sh kama milioni kasoro elfu 25 yaan nilikuwa na sh 975000/=. Nikashawishiwa kuingia kwenye tikiti.
Mambo yalienda vizuri,mwezi wa kwanza mazao yako vizuri,wa pili katikati ulikuja ugonjwa gani jamani daaahhhh. Ule ugonjwa Kama ulitumwa vile kumaliza hata ule mtaji mdogo niliokuwa nao tena niliojibana kwa mda mrefu.
Sikuamini ndani ya wiki moja ugonjwa ulikula mazao yote,yaani mpaka majani. Dawa zote zilidunda. Asikwambie mtu,pale ndipo nilipojua hasara inauma mazeee. Niliumia kupita maelezo ukizingatia sikuwa na pesa nyingine.
Niliyumba sio siri,nimeishi maisha ya shida sana hapo kati. Sasa hivi nina madeni kama laki tatu hivi.
Nimegundua wanaosema tukajiajiri ni wale wasiokuwa na uelewa ni jinsi gani huku kuna changamoto. Kuna kufirisika huku tena ule mtaji kidgo nao hupotea.
Asikwambie mtu hasara inauma jamani,ni noma.
Sijafa moyo,nikijipanga nitatafuta mishe nyingine.
And that's what defines a strong person.It was a very brutal knockout. The fight is still on.
Asante sana ndugu yangu kwa msaada wa mawazo,nitayatendea kazi. Nina imani mambo yatakuwa mazuri.Maskini Mdogo wangu pole sana kijana. usikate tamaa ila wakati mwingine fanya utafiti sana, dogo mimi nimelima huu mwaka wa 11 sasa, nimewahi lima mahindi kama hekari 120 zikaja zikaenda na mvua zoote sikukata tamaa niliamka nikalima nikaongeza zikawa hekari 156 nikaja nikavuna balaa, kuja sokoni bei serikali imepanga aisee niliumia sana nikafanya mchakato nikahonga nikapata kibali nikauza nje mahindi yangu na tangu hapo sijataka kabisaa kulima mahindi
ila nakushauri kama legendary wa kilimo usilime bila kufanya utafiti wa kina wa kile unachotaka kulima na pia kamwe usije rubunika na faida au output ya zao wewe fanyia utafiti wako zile changamoto za zao husika na jipime je waweza zi-handle?? kama huwez acha kabisaa
kingine licha ya changamoto fanya utafiti wa soko wa zao lako usije lima kisha ukajikuta unalia na madalali sokoni au kuzorota kwa bei, halafu pia kama ukishapata habari kamili ya gharama za zao lako mfano ni laki 9 ongezea laki mbili ya imejensi. Kilimo hapa bongo huwa hakina fixed costs.
Na mwisho ukitaka kulima mdogo wangu (depending na eneo uliloko) anza na mazao ya muda mfupi kama mchicha, spinachi, mnafu nk hii itakupa picha kamili ya kilimo kilivyo na pia itakutengenezea network na watu kibao ktk field yako
Kila la kheri mdogo wangu Mungu akubariki sana sana
Ahsante mwaya...Aiseee,pole sana jamanii