USHUHUDA :Leo kwamara ya kwanza nime pewa na mdada jicho,nimekula

kwanza nilivyoona iko jukwaa la jokes speed ikapungua mpk 10
 
Wanaume wa Dar buana! acha tu.
 
Nimekuja nduki, nikajua umekula kiwele...tehteehh [emoji23] [emoji12] [emoji13]
Lakini ukuwadi unakufaa.....
Hata miye, nikajua kasafisha mtaro.
Kumbeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......................
 
Ningekuwa mwalimu wako wa kiswahili basi ningekupa 5% kwa utunzi huu wa kuwatoa watu udenda halafu unawaacha mataa
 
Hata miye, nikajua kasafisha mtaro.
Kumbeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......................
Ningekuwa mwalimu wako wa kiswahili basi ningekupa 5% kwa utunzi huu wa kuwatoa watu udenda halafu unawaacha mataa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…