Ushuhuda: Mchungaji wetu amekiri alikuwa mvuta bangi akiwa mtumishi wa Kanisa, alibatizwa mara mbili, sasa ameacha bangi kabisa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Je ni sahihi mchungaji kukiri kuwa alikuwa mvuta bangi mbele ya waamini wake?

Asubuhi njema
 
Tanzania ili kupata waumini si jambo dogo.. Hadi uwe na ushuhuda utakaowagusa wengi hata kama ni wakutunga
 
Aseme alipokuwa ananunulia hiyo bangi maana ni jinai.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kichwa cha habari chahusika

Je ni sahihi mchungaji kukiri kuwa alikuwa mvuta bangi mbele ya waamini wake?

Asubuhi njema
Jar created weed, man created cigarette.
Weed is natural and safe when used in moderation. Cigarette is not.
Jah people unite, see Jah light and stand for your right!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…