USHUHUDA; Nguvu za Kiume

USHUHUDA; Nguvu za Kiume

Bingili

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
310
Reaction score
799
Habari zenu wana janvi

Naomba sana sana sana uzi huu utumike kutoa USHUHUDA ni jinsi gani umetatua tatizo la kushindwa kushiriki tendo

Post zimekua nyingi na asilimia kubwa zimejaa mizaha na kejeli wakati ukweli ni kwamba hili tatizo linasumbua na kuumiza sana kisaikolojia
Waathirika wamegeuka fursa na kila mtu siku hizi amegeuka mganga wa kutibu nguvu za kiume...... utapeli mtupu

Mshukuru sana Mungu wako kama huna tatizo hili hivyo basi usichangie kejeli wala mizaha

Pia kama wewe sijui ni daktari au mganga wa jadi tunaomba usichangie kuhusu dawa gani inafaa

HAPA TUNATAKA USHUHUDA TU wa wale waliopona tatizo hili na walitumia TIBA zipi?
na tuelekeze maswali kwa watoa ushuhuda ili tupate picha kamili

Asanteni kwa kunielewa [emoji120][emoji120]

Tunasubiri shuhuda kama zipo
 
Puli inaongeza nguvu za kiume.

Usipopiga puli atleast mara moja kwa siku kibuyu kinajaa sana ukikutana na demu lazima uwe unawahi kumwaga
 
Ushuhuda wangu ni kua Mwamnyeto hausiki na tatizo la nguvu za kiume tofauti na mtazamo wa watu wengi ulivyo

NB: mimi ni mwanachama mtiifu wa CHAPUTA kwa zaidi ya miaka 20 sasa, nina mke watoto na michepuko kadhaa.
 
Hii khali ilinipata kipindi cha 2018 hadi mwanzoni mwa 2020 ki ukweli nilikua napata hofu sana.. nilipiga hadi simu kwa mzee wangu na kumuelezea khali inayonikuta kwamba napiga moja na mashine inalala kabisa yani sijiwezi tena mzee akanambia fanya mazoezi kula vizuri na niache papara ila kama itaendelea nimpigie atanitaftia mtaalamu . Basi nikawa muoga sana hata kutongoza wanawake , ilipofika march nakumbuka kipindi cha corona kuna mdada mmoja alikua rafiki yangu wa kawaida tumezoeana sana basi siku iyo alikua anastress akanapigia akanambia D me leo sijiskii kukaa kwangu naomba nipe company tubadilishe mazingira ki ukweli tulitoka tukaenda mitaa ya city pub mbeya pale tukala nyama choma basi mda ukawa umeenda akanambia tusiondoke me nataka kubaki na wewe leo na ctaki kulala kwako wala kwangu basi bhana nkamwambia lodge je akasema haina shida nilienda nae adi lodge moja japokua sikua na idea ya kupata utelezi kabisa.. nisiwe muongo ile siku niliharibu game yani ata uchi sikuoona alinipa blowjob nikamaliza aisee niliogopa sana. Nikajifanya najiskia vibaya na akaelewa ila ule usiku nilikua na mawazo huyu dada atanichukuliaje na je vipi kama ni leo alikua na hasira za bwana ake akataka alipe kisasi daah ndugu nilikua na stress sana aisee.. nilikaa kama siku nne na hii siku nilijiamini sana nikamcheki nikamwambia i miss you natamani tena utundu wako alicheka akanambia let’s meet up this weekend. Ilipofika siku nlioga vizuri nikala mbegu za matikiti nikaenda nikiwa sijawaza chochote nilifika sikua na papara nae hata kidogo nilirelax sana yani nikawa siwazi chochote in my mind nilijitahidi nikapiga vitatu ule usiku na ilikua ni mara yangu ya kwanza baada ya miaka 2 na izo goli tatu ilikua ni kungoja mashine iamke baada ya lisaa.. niliendelea kua na uyu dada tukilana japokua siku zilikua zikienda niliona progress ilifika 2020 mwishoni nilipata demu sasa nilimpenda sana ila kwake nilikua siendi round mbili kabisa naishia kamoja nikarudi kwa my friendwith benefit na mambo yalikua yanajipa vizuri na hadi leo naona niko poa japokua kuna baadhi ya wanawake nikikutana nao nikipiga moja mwili unakua wa baridi tu apo kuamka ni kesho. naomba nisikuchoshe basi nadhani kilichonisaidia mimi ilikua ni
1.yule dada alikua anajua namna ya kua na mwanaume yani alikua msafi na anajua kuchezea mashine
2.usipanie mchezo au kumuwaza sana mwenza unaenda kukutana nae
3. Ukiwa umepiga goli usianze kuwaza kwamba leo itakuaje
4. Tafta mwenza muelewa muongee na utaona mabadiliko ila usijarbu masista duuh siku zote utakua unajiskia vibaya na kufanya khali iwe mbaya
5.nilijua mapenzi ni chemistry pia kuna wanawake ukiwa nao unawasha sana moto na kuna wengine unawatamani kwa nje wakija geto akivua nguo ukipiga moja umelala
6 fanya mazoezi hasa ya miguu kama una uwezo nenda gym sukuma vyuma au cheza mpira kufanya misuli kukomaa
 
Back
Top Bottom