Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Mwaka fulani, nilikuwa katika wakati mgumu sana, though kidogo nilikuwa na mpunga wa kusavaivu, kuna dogo mtoto mmoja nikakutana naye ameshindwa kuendelea na masomo kwasababu ya ada, niliamua kutoa hela kumlipia ada pamoja na kwamba mwenyewe nilikuwa na uhitaji mkubwa sana. Dogo akaenda shule. MATOKEO YAKE, nilikuja kupata scholarship kubwa sana ya kusoma nchi bora kabisa za Magharibi, kirahisi mno kwa kukuta tu tangazo kwenye mtandao bila kujali kama watakuwa matapeli au la. nililipiwa kila kitu, nikasoma kama mtoto wa kitajiri kumbe nilitoka familia masikini.
Mwaka mwingine, nilikutana na dogo mmoja anajua sana kuimba, alikuwa anaimbisha nyimbo za kuabudu kila siku, hana hela, hana kazi, ni mtu mwenye uhitaji. niliingia mfukoni nikatoa hela yangu ya mshahara, my wife ni mwelewa alifurahia nilichofanya kwa imani, na nikamwambia yule dogo sitaki unitangaze wala unishukuru, (NILIMPA PESA HIYO AKAREKODI KANDA YAKE YA KWANZA YA GOSPEL) mimi nampa Mungu sadaka wewe kamshukuru Mungu.
Matokeo yake, kila ninachofanya kinafanikiwa na anayepingana na mimi kwenye harakati zangu za kutafuta maisha huwa anapambana na Mkono wa Mungu, lazima nimshinde, na pesa sizipati kwa jasho sanaaaa kama ilivyokuwa awali. kuna wakati pesa unaweza kuwa unazipata kirahisi tu, kwasababu katika ulimwengu wa roho, milango imefunguka.
kuna shuhuda zingine kadhaa za ajabu, Mungu alinipa vitu kutokana na mimi kutoa. nikiandika hapa patakuwa parefu mno watu watachoka kusoma. naomba niandike zingine siku nyingine. Nawaasa watu, saidieni watu, na msipende kupata shukurani toka kwao, wakampe shukurani Mungu, na usijionyeshe kama umetoa (hata mimi hapa ni kwasababu sijadisplay jina),ukimpa kitu mtu akakushukuru, hautapata thawabu toka kwa Mungu, umekwisha pata thawabu toka kwa yule mtu uliyemsaidia, ila akienda kumshukuru Mungu kwa ajili yako, lazima Mungu arudishe thawabu kwako.
Hii ndio sheria kubwa sana ya Mungu katika ulimwengu wa roho, hasa ikizingatia kuwa God never shares his glory, na ni Mungu mwenye wivu huwa hawagani utukufu na Mwanadamu, yeye pekee anastahili utukufu wooote. na kipimo kile upimacho ndicho utakachopimiwa.
Ana heri mtu yule, ambaye Bwana ni Nguvu zake, BWanani nguvu zake, Bwana ni nguvu zake, Ana heri mtu yuleee, ambaye Bwana ni nguvu zakeeee, Bwana ni nguvu zakeee,Bwana ni nguvu zakeeee. (I feel in my heart singing this song all day).
Mwaka mwingine, nilikutana na dogo mmoja anajua sana kuimba, alikuwa anaimbisha nyimbo za kuabudu kila siku, hana hela, hana kazi, ni mtu mwenye uhitaji. niliingia mfukoni nikatoa hela yangu ya mshahara, my wife ni mwelewa alifurahia nilichofanya kwa imani, na nikamwambia yule dogo sitaki unitangaze wala unishukuru, (NILIMPA PESA HIYO AKAREKODI KANDA YAKE YA KWANZA YA GOSPEL) mimi nampa Mungu sadaka wewe kamshukuru Mungu.
Matokeo yake, kila ninachofanya kinafanikiwa na anayepingana na mimi kwenye harakati zangu za kutafuta maisha huwa anapambana na Mkono wa Mungu, lazima nimshinde, na pesa sizipati kwa jasho sanaaaa kama ilivyokuwa awali. kuna wakati pesa unaweza kuwa unazipata kirahisi tu, kwasababu katika ulimwengu wa roho, milango imefunguka.
kuna shuhuda zingine kadhaa za ajabu, Mungu alinipa vitu kutokana na mimi kutoa. nikiandika hapa patakuwa parefu mno watu watachoka kusoma. naomba niandike zingine siku nyingine. Nawaasa watu, saidieni watu, na msipende kupata shukurani toka kwao, wakampe shukurani Mungu, na usijionyeshe kama umetoa (hata mimi hapa ni kwasababu sijadisplay jina),ukimpa kitu mtu akakushukuru, hautapata thawabu toka kwa Mungu, umekwisha pata thawabu toka kwa yule mtu uliyemsaidia, ila akienda kumshukuru Mungu kwa ajili yako, lazima Mungu arudishe thawabu kwako.
Hii ndio sheria kubwa sana ya Mungu katika ulimwengu wa roho, hasa ikizingatia kuwa God never shares his glory, na ni Mungu mwenye wivu huwa hawagani utukufu na Mwanadamu, yeye pekee anastahili utukufu wooote. na kipimo kile upimacho ndicho utakachopimiwa.
katika kitabu cha LUKa 6:38, imeandikwa,
Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwa-sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.Ana heri mtu yule, ambaye Bwana ni Nguvu zake, BWanani nguvu zake, Bwana ni nguvu zake, Ana heri mtu yuleee, ambaye Bwana ni nguvu zakeeee, Bwana ni nguvu zakeee,Bwana ni nguvu zakeeee. (I feel in my heart singing this song all day).