God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Uganga au uchawi ni karama ambayo MUNGU huwa anawapa watu na moja ya masharti ya karama hiyo usiitumie kujipatia PESA Ila acha MTU akipenda Kazi yako atakupa PESA.
Hivyo Mimi Mganga wangu alienifanya nitoboe na kupata Kazi ssehemu nzuri na kukalia hiki Kiti aliniomba elfu 3 tu.
Wakuu ukiona mganga anataka hela kuanzia 10K fahamu tu huyo tapeli Chakula cha babu hakizidi 3-5K.
Hivyo Mimi Mganga wangu alienifanya nitoboe na kupata Kazi ssehemu nzuri na kukalia hiki Kiti aliniomba elfu 3 tu.
Wakuu ukiona mganga anataka hela kuanzia 10K fahamu tu huyo tapeli Chakula cha babu hakizidi 3-5K.