OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ipo iviSiyo kila asiyekunywa pombe anapenda chini, vilevile kunawanaokunywa akishalewa zinakimbilia chini,
😂😂😂😂 Na wale wanywa pombe Kali ili wajibust ni Kati yao?Ipo ivi
Mwanamke Mlevi yaan mpenda maji, huyu anagongeka kirahisi.
Mwanaume asiyekua Mlevi huyu mara nyingi anapenda chini..kupenda chin sio maana ni malaya, anaweza penda chini kwa demu wake au akawa malaya kwelikweli.
Mwanaume Mlevi , hawa ni watu wa watu , wao wanajitahidi kupenda chin lkn wengi pafomasi yao iko puaaaa nasababu iko puaa, huishia pia kupenda chin tofauti tofauti kujaribu Kusingizia Tatizo
Pombe huaribu Ini... Ukiharibu Ini umeharibu Korodani ( wanywa pombe muda mrefu huishia kua na tupumbu tudogooooo) , ukiharibu korodani ,umepunguza Shahawa, Ukipunguza shahawa, Umepunguza Hisia , Umepunguza uwezo wa mbooo kusimama, umepunguza uwezo wa kuhimili muda mrefu kwa ujumla wana tunasema Jamaa ana tatizo la nguvu za kiume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo wanaume wanywa pombe, hawa tuwaite ni watu wa watu ambao baadae husaidiwa majukum [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huyo jamaa ni mshamba halafu ni kati yaa vibaraka wa chama humu JF. achana naeSiasa ni Maisha.
Mapenzi ni Maisha.
Kua mwanasiasa alafu uachane na mapenzi ..kama utaweza.
Hiyo ni kweli mkuu, tunapenda kidude.Mara ya kwanza namtoa out yeye aliagiza bia mimi nikaagiza soda ya coca. Akanicheka sana akaniuliza kama situmii pombe. Baada ya kumjibu kama situmii akanihukumu, kwamba kilevi changu itakuwa chini, tusiotumia pombe tunatumia chini. Nikachukua dakika kadhaa kujitetea.
Bado napata ugumu kuhitimisha tuhuma hizi kwa sisi tusiotumia pombe,bado napungukiwa sample. Hata hivyo kwa sampuli ndogo niliyotumia kuna asilimia kubwa ya ukweli.
What is your take
Everybody is addicted to something...[emoji21][emoji21]Mara ya kwanza namtoa out yeye aliagiza bia mimi nikaagiza soda ya coca. Akanicheka sana akaniuliza kama situmii pombe. Baada ya kumjibu kama situmii akanihukumu, kwamba kilevi changu itakuwa chini, tusiotumia pombe tunatumia chini. Nikachukua dakika kadhaa kujitetea.
Bado napata ugumu kuhitimisha tuhuma hizi kwa sisi tusiotumia pombe,bado napungukiwa sample. Hata hivyo kwa sampuli ndogo niliyotumia kuna asilimia kubwa ya ukweli.
What is your take
Walevi wakishalewa tungi huwa wanaondoka ja Malaya.Mara ya kwanza namtoa out yeye aliagiza bia mimi nikaagiza soda ya coca. Akanicheka sana akaniuliza kama situmii pombe. Baada ya kumjibu kama situmii akanihukumu, kwamba kilevi changu itakuwa chini, tusiotumia pombe tunatumia chini. Nikachukua dakika kadhaa kujitetea.
Bado napata ugumu kuhitimisha tuhuma hizi kwa sisi tusiotumia pombe,bado napungukiwa sample. Hata hivyo kwa sampuli ndogo niliyotumia kuna asilimia kubwa ya ukweli.
What is your take