ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

heri yako mwali
 
aqhahaaa mkuu umeniacha hoi
 
nitakupm badae
 
Wewe ni muongo coz hii elimu inatolewa std 6 & 7. So sad unavyoleta mada za uongo hapa
Wewe unaonyesha bado mtoto yaani umezaliwa kipindi cha dotcom. Miaka yetu mambo hayo yalikuwa ni siri sana huwezi kumkuta eti mwalim anafundisha darasani vitu kama hivyo, baada ya kuonekana watoto wa miaka hii wamepinda, mitandao nayo ni balaa ndio masomo yakaanza kufundishwa darasani, lakini miaka yetu, shule ya msingi huwezi kukuta masomo kama hayo
 

Smile hongera sana kwanza kufika A level bila kuguswa, maana siku hizi watoto doh! darasa la 5,6,7 ni kama mchezo, ukiulizia sekondari ndiyo balaa. Pointi yako ni ya kweli ni vizuri wazazi wakakaa na binti zao kuwaeleza mabadiliko ya mwili na hasa hatari ya kuukwaa ukimwi. Wazazi chelewa chelewa utamkuta mwana si wako.
 
sio a level tu kidogo nimalize na chuo bwana shetani huyu?
 
Ulijisikiaje ck ulipozinyoa!

Nani alkufanyia huduma hiyo?
 
Ck ulipozikata ilikuwaje?

Nani alikufanyia huduma hiyo?
 
Smile smile the dearest au Dr. alifanya nini kwa mfano???
Isije kuwa alijitwika jukumu la kukunyoa akidai ndo tiba................................................
 
Smile smile the dearest au Dr. alifanya nini kwa mfano???
Isije kuwa alijitwika jukumu la kukunyoa akidai ndo tiba................................................
potezea bwana loh
 
smile.... mmmh!
pole lakini kwa ili tukio duuh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…