Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Habari za jioni wapambanaji, Nawasalimu kwa jina la jamuhuri.
Mimi ni kijana mtafutaji, lakini tokea nipo chuo(Mzumbe) nilijikuta napenda tu kuandika proposal za biashara, kipindi hicho tulikuwa tunaandika wakati wa zile party za kukaribisha wanafunzi wapya maarufu kama freshers Bash. Basi tulikuwa tunapeleka kwenye makampuni ya vinywaji, kama bia au soda na wadau wengine, zile proposal bwana zikawa zinajibiwa na sisi kupata mkwanja wa kuendesha maisha ya chuo.
Aisee tumeandika proposal nyingi sana, mpaka naingia mtaani nilikuwa sina kazi yoyote ila dili zangu zilikuwa ndio hizo. Baada ya miaka kadhaa leo hii nimejikuta nmefungua ofisi yangu mwenyewe ambapo nafanya shughuli zangu za Mwanasheria lakini proposal ndio zinanipa pesa zaidi.
Karibuni sana GETRICH BUSINESS CONSULTANTS, Buguruni rozana kwenye jengo la Rozana Complex frame namba Moja na simu 0710 782874. Ahsante.
Mimi ni kijana mtafutaji, lakini tokea nipo chuo(Mzumbe) nilijikuta napenda tu kuandika proposal za biashara, kipindi hicho tulikuwa tunaandika wakati wa zile party za kukaribisha wanafunzi wapya maarufu kama freshers Bash. Basi tulikuwa tunapeleka kwenye makampuni ya vinywaji, kama bia au soda na wadau wengine, zile proposal bwana zikawa zinajibiwa na sisi kupata mkwanja wa kuendesha maisha ya chuo.
Aisee tumeandika proposal nyingi sana, mpaka naingia mtaani nilikuwa sina kazi yoyote ila dili zangu zilikuwa ndio hizo. Baada ya miaka kadhaa leo hii nimejikuta nmefungua ofisi yangu mwenyewe ambapo nafanya shughuli zangu za Mwanasheria lakini proposal ndio zinanipa pesa zaidi.
Karibuni sana GETRICH BUSINESS CONSULTANTS, Buguruni rozana kwenye jengo la Rozana Complex frame namba Moja na simu 0710 782874. Ahsante.