Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Pole madam,right speaking be with you everyday to save this generation
 
Nakuona una ID kama Facebook [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sajili upya manake id moja kwa email moja huwezi rudia kusajilia email ileile
Amejiachiaaaaa siku wakija wenyewe wale wasiojulikana wataanza nae hahahahahahahaaha
 
Sioni sababu ya kuwaambia ndugu Ili iwaje maana ukizidiwa obviously ndio watakusaidia by any means so kuwaambia au kutokuwaambia haibadili chochote

By the way pole but ni mambo ya kawaida hicho sio kisukari
 
Huu uzi naukumbuka na umefanyiwa edition sana. Uzi huu ulikua msumari wa moto kwenye kidonda.

Humu ndani palikua hapatoshi ilkia patashika nguo kuchanika. Wavua mipira katikati waliibuka kwa hasira sana wakilaani na wengine kutishia maisha. Nyuzi zao nadhan ziko humu kama hazijafutwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…