Nimemkumbuka hornetFirst, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo
Ujue siku zako zinahesabika..
First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao.
Wachache tu jamani, hata hivyo na watakuwa Negative huko walipo
Tangu lini mua ukaliwa na ganda...,π€£πKamua baba usitumie hirizi
Kunawatu walikua wanaongea wakati umelala ndipo nikawa nakuamsha...πNipo nimejaa tele kuna habari gani?
Hahahaaaa. Yabidi tuombe miaka irudi nyuma mana wanatuchezea sana wale.Kila mtu na fikra zake. Naona tumepatia maana kuna marafiki zangu wawili humu wangejua, wangeniparura si kawaida. Ila niliumia sana tena sana. Ningekuwa kijana ningeenda kuomba uongozi wa msikiti ili niwaoneshe misikiti inavyoongozwa hadi ikajiendesha yenyewe bila kutegemea matajiri uchwara.
Ako ndo kaugonjwa kao nyuma ya keyboard. Ila wacha tuishi nao tu hivyo hivyo Mkuu.Lakini usisahau kuwa wengi wa humu hasa vijana ni waoongo sana. Anasema A wakati hali halisi ni Z
Mwisho wa yote ni kusononeka tu. Bosi wangu wa zamani aliniasa kuwa kuna wakati akili inauambia mwili ufanye kitu lakini mwili unashindwa kutii; huo ndio uzeeHahahaaaa. Yabidi tuombe miaka irudi nyuma mana wanatuchezea sana wale.
Naamini ungekuwepo haya yote yasingetokea. Teh teh.
Ila wanaudhiAko ndo kaugonjwa kao nyuma ya keyboard. Ila wacha tuishi nao tu hivyo hivyo Mkuu.
Kama hiyo picha hapo ni yakwako, wewe hauna ukimwi...First, let me declare kwamba mimi ni member wa muda mrefu humu JamiiForums na nimependa kuja nah hii ID mpya ili kuweza kuficha utambulisho wangu wa hapo mwanzo, ili kuepeuka mambo kadhaa kutoka kwa member ambao nimebahatika kuonana/kukutana nao.
Priscallia.
Let them talk babe...maybe they get paid or maybe they get healed or maybe they cum so lets them enjoy.Kunawatu walikua wanaongea wakati umelala ndipo nikawa nakuamsha...π
Ha ha ha haHivi kwanini ukiuza mechi ndo unaanza kuona thread za namna hiiii jamanii??? [emoji23][emoji23][emoji23]
πππLet them talk babe...maybe they get paid or maybe they get healed or maybe they cum so lets them enjoy.