Ushujaa na ubora wa Rais Magufuli utang'ara zaidi baada ya kung'atuka madarakani 2025

Pumba tu
Mataga on the beat
Lumumba fc

Teuzi zimeisha ewe praise team usijisumbue kusifu na kuabudu ,



Huyo man from chattle utamkumbuka wewe na mkeo !
 
Rais Magufuli hang'atuki 2025, lazima tumwongezee mkataba mpaka nguvu zitakapomwishia! Hatuwezi kukubali kupoteza jembe hili eti kwa ajili ya katiba tu iliyo chini ya uwezo wetu kupitia wawakilishi wetu bungeni. Lazima tubadilishe katiba!!
 
Rais Magufuli hang'atuki 2025, lazima tumwongezee mkataba mpaka nguvu zitakapomwishia! Hatuwezi kukubali kupoteza jembe hili eti kwa ajili ya katiba tu iliyo chini ya uwezo wetu kupitia wawakilishi wetu bungeni. Lazima tubadilishe katiba!!
Haya njoo umeze kauli yako , na wenzako walisema mitano tena , atake asitake aongezewe muda kiko wapi? Mungu ni hakimu wa haki , ukipewa madaraka au mali tenda haki kuepuka mkono wa bwana , mataga sijui mmejifunza au bado?
 
Hivi wahaya tunakwama wapi siku hizi, jitu zima linatuletea ungese hapa kalie mpali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…