Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Wachawi japo tunawakemea vikali sana, lakini mimi nashukuru uwepo wao kwa kiwango kikubwa!
kusingekuwepo uchawi, sijuwi hali ingekuwaje?!
wote tunajua Mungu yupo lakini si wote wanaomwamini & kumtii ipasavyo;
UUNGU & UCHAWI yote yapo kiimani, lakini kubali usikubali: wanaoamini uchawi ni wengi kuliko wanaomwamini Mungu.
*ukiona mtu anaogopa kukufanyia mabaya, si kwasababu anajua ni dhambi bali anaogopa kwa kuhisi utamroga!
*ukiacha mali yako sehemu ambayo unahisi si salama na ukaikuta salama, basi mtu kaogopa kurogwa wala si vinginevyo
Uchawi una faida nyingi ambazo siwezi kueleza hapa, lakini elewa kwamba uchawi unasaidia..(nazungumzia faida kwa jamii sio kwa mchawi)
Kama unakubaliana na mimi, ongeza faida moja hapa;
kusingekuwepo uchawi, sijuwi hali ingekuwaje?!
wote tunajua Mungu yupo lakini si wote wanaomwamini & kumtii ipasavyo;
UUNGU & UCHAWI yote yapo kiimani, lakini kubali usikubali: wanaoamini uchawi ni wengi kuliko wanaomwamini Mungu.
*ukiona mtu anaogopa kukufanyia mabaya, si kwasababu anajua ni dhambi bali anaogopa kwa kuhisi utamroga!
*ukiacha mali yako sehemu ambayo unahisi si salama na ukaikuta salama, basi mtu kaogopa kurogwa wala si vinginevyo
Uchawi una faida nyingi ambazo siwezi kueleza hapa, lakini elewa kwamba uchawi unasaidia..(nazungumzia faida kwa jamii sio kwa mchawi)
Kama unakubaliana na mimi, ongeza faida moja hapa;