Ushuru kwa Maliasili kama Asali

mongoya

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2014
Posts
298
Reaction score
120
Ndugu naomba kuuliza napotaka kuanza biashara ya asali nasikia kikwazo kikubwa ni kamatakamata ya askari wa maliasili..

Swali langu ni je, upatikanaji wa kibali ukoje?..au ni njia gan naweza tumia ili kuepuka huu usumbufu kwa anaefaham anielimishe...

Nawasilisha.
 
Niliuliza hii issue kwa mdau mmoja kila unaposafirisha asali kutoka point A mpaka B unahitaji kibali ambacho kwa dumu la lita ishirini ni kama elfu 15.., This was hearsay kwahio sina uhakika kwa uhakika zaidi wacheki maliasili
 
Nashkuru....ila kama itakuwa ni kweli elfu 15...kwa dumu la lita 20....kweli ni kikwazo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…