Ushuru unaolipa nao unakatwa Tozo

Ushuru unaolipa nao unakatwa Tozo

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
F12409EA-12C9-4F7B-9CFB-1E957899D190.jpeg
 
Nchi imekosa maono. Viongozi dhamira zimekufa, hawaumizwi na chochote kinachowaumiza wapiga kura wao.
 
Mungu bado analipenda sana hili taifa tumpe muda
 
Hii sirikali inakula hela mpk hela inashangaa
 
Li nchi la hovyo hili, Ila kuna sku Mungu atalivunja tuuu , ngoja honeymoon ya utanzania ianze kuisha
 
Back
Top Bottom