Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tozo gani nyingine za ziada na bei zake zikoje?
Port Handling na Wharfage kuna tofauti?Uwe na kama na 1,000,000
Mchanganuo
1. Tbs 353,000/=
2. Shipping line 115,000
3.wharfage fee 150,000
4. Port handling charges 250,000
5. Registration + plate no 50,000
6. Agency fee 200,000
Total= 1,100,000 inarange humo
Kuna mdau nimeona humu JF anasema TBS hawaruhusu kutoa gari bila kubadili tairi zote nne kwenye gari tena kwa kupitia kampuni yenye ubia nao hapo bandarini,Kindly confirm.Habarini wana jamvi naombeni kujua gharama za kutoa gari aina ya Toyota ist badarini baada ya kuwa nimelipa kodi ya TRA, kuna tozo gani nyingine za ziada na bei zake zikoje?
Port Handling na Wharfage kuna tofauti?
Kuna mdau nimeona humu JF anasema TBS hawaruhusu kutoa gari bila kubadili tairi zote nne kwenye gari tena kwa kupitia kampuni yenye ubia nao hapo bandarini,Kindly confirm.
Lakini kwa usalama wako na watumiaji barabara wengine kama tyre zimeisha ubora na matumizi bora ubadilishe kabla ya kuleta madhara.Gari kama tyre zmechoka au kuisha muda wake hawakupi certificate ni wa sumbufu sana. Andaa kitu wape watakupa cheti wananjaaa sana
Lakini kwa usalama wako na watumiaji barabara wengine kama tyre zimeisha ubora na matumizi bora ubadilishe kabla ya kuleta madhara.
Mmmmmmhmn 700,000 ndogo sana. At least awe na milioni na plus just incase..... Isipungue million moja.Handling Charges
Corridor levy
Wharfage
Kwa ufafanuzi zaidi pitia hizi thread mbili utapata mwanga zaidi wa kukamilisha makisio ya hesabu yako.
- Gharama za kutoa gari bandari
- Kabla hujaagiza gari, pitia hapa kujua gharama kamili za ushuru na bandarini hapa msome vizuri neno kwa neno ndugu MAGARI7
Kwa ujumla uwe na ziada isiyopungua 700,000 hadi gari kuiweka barabarani.