Ushuru wa magari na online TRA calculator

Ushuru wa magari na online TRA calculator

Prince05

Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
18
Reaction score
29
Mimi binafsi napotaka kuagiza gari, nachukua details za ile gari halafu nakuja kukadiria bei ya ushuru kupitia Calculator ya TRA, tuseme napata Mil 12,355,000 kama ushuru.

Unaagiza gari baada ya wiki tatu ushuru unaongozeka kidogo hadi mil 13+ kawaida kabisa kutoka na value ya USD KUPANDA NA KUSHUKA.

Gari inakaribia kufika, unafanya assessment na upate control number ya malipo ya Ushuru unashangaa unatolewa control number ya Mil 19+ hata kama USD inapanda sio kwa speed hii ya wiki mbili au tatu kutoka mil 12 hadi mil 19+.

Hii kitu inaumiza sana, na wanafanya hivi kwenye gari ambazo ni pendwa sana zinaoingia kwa wingi. Mfano sasa hivi wanaoingiza Mazda cx5, harrier Anaconda na Subaru Forester hasa hizi new model wanajua nini namaanisha.
 
Lakini nyie ndio wenye hela.

Sisi pangu pakavu hapa hatuna cha kushauri
 
Nchi zingine kuagiza na kununua gari ni bei nafuu na kila mwananchi anaweza kumudu, ila Bongo ni shughuli haswa.
 
Ushuru inategemea na Invoice ya gari kama agent wako mjanja anajua cha kufanya
Sasa hivi wana angalia trend za magari, mfano mazda cx5 au anaconda hata ufanye vipi wao wameshaziwekea level flan, na wanajua ni gari pendwa basi ndio wanapiga rungu
 
Mimi binafsi napotaka kuagiza gari, nachukua details za ile gari halafu nakuja kukadiria bei ya ushuru kupitia Calculator ya TRA, tuseme napata Mil 12,355,000 kama ushuru. Unaagiza gari baada ya wiki tatu ushuru unaongozeka kidogo hadi mil 13+ kawaida kabisa kutoka na value ya USD KUPANDA NA KUSHUKA.
Gari inakaribia kufika, unafanya assessment na upate control number ya malipo ya Ushuru unashangaa unatolewa control number ya Mil 19+ hata kama USD inapanda sio kwa speed hii ya wiki mbili au tatu kutoka mil 12 hadi mil 19+.
Hii kitu inaumiza sana, na wanafanya hivi kwenye gari ambazo ni pendwa sana zinaoingia kwa wingi. Mfano sasa hivi wanaoingiza Mazda cx5, harrier Anaconda na Subaru Forester hasa hizi new model wanajua nini namaanisha.
Ndio maana tunawashauri muache ubahali... Tumia mawakala wa forodha wanajua namna ya kufanya wewe... utaumizwa mpaka uumizwe... wanaweza hata kukuombea weiva😃😃
 
Mimi binafsi napotaka kuagiza gari, nachukua details za ile gari halafu nakuja kukadiria bei ya ushuru kupitia Calculator ya TRA, tuseme napata Mil 12,355,000 kama ushuru.

Unaagiza gari baada ya wiki tatu ushuru unaongozeka kidogo hadi mil 13+ kawaida kabisa kutoka na value ya USD KUPANDA NA KUSHUKA.

Gari inakaribia kufika, unafanya assessment na upate control number ya malipo ya Ushuru unashangaa unatolewa control number ya Mil 19+ hata kama USD inapanda sio kwa speed hii ya wiki mbili au tatu kutoka mil 12 hadi mil 19+.

Hii kitu inaumiza sana, na wanafanya hivi kwenye gari ambazo ni pendwa sana zinaoingia kwa wingi. Mfano sasa hivi wanaoingiza Mazda cx5, harrier Anaconda na Subaru Forester hasa hizi new model wanajua nini namaanisha.
Epuka kuagiza gari mwisho wa mwaka. Likifika mwaka unaofuata wanakuwa washabadili custom value ya gari(mara nyingi wanapandisha).
Mfano ukiangalia calculator mwezi wa kumi utakuta gari X custom value ni $3000 ukiagiza likifika December ushuru wataangalia hio value $3000. Ila ikifika January custom value huwa wanapandisha inaweza kuw $4500 hapo hesabu ya ushuru itapanda sana hadi utashangaa.
 
Back
Top Bottom