Ushuru ya kuagiza, ingiza bidhaa kutoka nchi za nje

Joined
Dec 23, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Kuna mmoja wenu hapa alishawahi kupokea mizigo ya bei rahisi kutoka nje ya nchi na wanaokusanya ushuru hawakuhitaji makato?Je, kama hivo mizigo ilihitaji kulipiwa kiasi gani mpaka wanaokusanya ushuru wasihitaji malipo?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…