DuhMjadala mkali juu ya hali ya masoko ulikatizwa ghafla kwa harufu kali ya ushuzi.
Kadhia hiyo haikutokea sokoni ama mtaani, bali ni kwenye ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Homa Bay, Magharibi kwa Kenya.
"Mheshimiwa Spika, mmoja wetu hapa amechafua hali ya hewa," Bw Julius Gaya anaripotiwa kupiga ukelele akiwa kwenye kikao cha Bunge.
Miss you umepotea mamyπππ jamanii
Miss you too my Dia.. NIko napambana na hali yangu tu...Miss you umepotea mamy
Ukuje kule kwenye kauzi ketuMiss you too my Dia.. NIko napambana na hali yangu tu...
Hahaha... ntakuja..kama mapicha ya naniliu hayapo πUkuje kule kwenye kauzi ketu
Yapo lazima yale πππmim nimepiga mikwara nimechoka.Hahaha... ntakuja..kama mapicha ya naniliu hayapo π
π π π zilitaka kuniaibisha kweny vikao mara mbili... maana ni GIF ..Yapo lazima yale πππmim nimepiga mikwara nimechoka.
Pole best mimi huwa sifungui uzi nikiona nipo sehemu ya watu wengiπ π π zilitaka kuniaibisha kweny vikao mara mbili... maana ni GIF ..
Duh wanawake tafuteni chumbaMiss you too my Dia.. NIko napambana na hali yangu tu...