Usi Panic !

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
HATA USIPANIKI mwanaume mwenzangu, ukimwita msichana kwa ajili ya mtoko akaja na rafiki zake ili akukomeshe....
Wewe wajali sana wale rafiki zake.... piga nao story, waonyeshe picha zako kadha wa kadha... washirikishe masuala yako ya kiofisi... wape namba zako zote za simu hadi ile ya mezani.....
Muda wa kuondoka wapatie nauli ya kutosha kisha waelekeze unapoishi wewe na ikibidi hata wanapoishi wazazi wako......

[HASHTAG]#Myfriend[/HASHTAG]! next time ukimuita ataogopa hata kuja na MKOBA WAKE atahisi utaujali wenyewe zaidi yake.... yaani atakuja kama alivyo!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima kuwa na mbinu mbadala kama za FBI aseee hasa na serikali hii ya kubana matumizi
 
Hahahahahaha.... wewe kiboko na hii mbinu ndio yenyewe hii, wataelewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…