Mpaka usemeNa utasema
Kweli!?Sifa ya tunda lazima liwe juu, siyo ardhini.
We niambie tikiti liko juu ya ardhi au ardhini, tuanzie hapo.Kweli!?
Kwahiyo tikiti ni mmea jamii ya kunde[emoji23]
Hivi nikikwambia tikiti linaota juu, halioti ardhini.We niambie tikiti liko juu ya ardhi au ardhini, tuanzie hapo.
Tutaaminije, em tuoneZinanisaidia sana kuboost mambo fulani fulani, hata nisipojipaka mafuta sipauki
Nmesema mambo mawili hapo, sijajua ni lipi wataka ulione πTutaaminije, em tuone
Yote mkuuNmesema mambo mawili hapo, sijajua ni lipi wataka ulione π
π€£ π€£Mkuu mwenyewe
Tuanze kwa kufuata nililoanza kulisema
π mambo fulani fulani ushayajua?π€£ π€£
Yeah hilo la kwanza ndio la msingi
Hapana, ndio unijulishe niyajueπ mambo fulani fulani ushayajua?
utajua baada ya kukuonesha πHapana, ndio unijulishe niyajue
Nasubiri kuona hapautajua baada ya kukuonesha π
Mzizi wa tikiti uko ardhini na tikiti liko juu ya ardhi-on ground, karanga mizizi ipo ardhini ambako karanga huotea. Sijui niandike kwa kihindu???Hivi nikikwambia tikiti linaota juu, halioti ardhini.
We utaelewa linaota wapi?
Duwh nashushiaga na mtindi mkuu , au naalibu dozi mtaalamu wa hizo Kaz?karanga zinaongeza shahawa.kilasiku lazima Nile robo yakaranga nashushia namaziwa freshi
Apasuke tu inaongeza genyeBado hujasema
La kwanza haliwezekani hapaNasubiri kuona hapa