Usiache kupenda tena, yawezekana huyo ndiye aliyekusudiwa kuwa wako.

Usiache kupenda tena, yawezekana huyo ndiye aliyekusudiwa kuwa wako.

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Usiache kupenda tena, yawezekana huyo ndiye aliyekusudiwa kuwa wako. Ukiachana na mtu usisuse ila jisahihishe kisha daka chombo tena

Usikubali kuishia njiani kwasababu umeachwa, umeumizwa na mtu kwenye mahusiano yako

Usijione hufai baada ya kuondoka kwake au baada ya kumuondoa kwenye maisha yako Ukaamua kuishilia, kujitenga mahusiano kabisa

Bado unayo thamani ya kufurahia mahusiano na mtu mwingine wala usijione wewe ni mtu wa fungu la kukosa tu na hustahili upendo💕

Ukiachwa jipende na jiongezee thamani uwe mtu na nusu. Utapendwa tu tena wala usiendee kulialia au kuyasusa mahusiano eti uliumizwa.
 
Nataka kujua namna ya kujiongezea thamani hii kesi inanihusu
 
Nataka kujua namna ya kujiongezea thamani hii kesi inanihusu
Kwanza kabisa jipende wewe mwenyewe,jiheshimu watu nao watakuheshim,vaa mavaz yenye heshima watu watakuheshim,kula vizuri uwe na afya mzuri,kua msafi WA mwili na roho apo utakuja kunipa majibu ukizangatia ayo niliyo kwambia🙏🏽
 
Back
Top Bottom