CalvinKimaro
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 245
- 314
Tukumbushane ahadi,
1. Serikali ikikamata makenikia itabamizwa mahakama za kimataifa. Hewa!
2. Huu ni mwaka wa kudai demokrasia lazima katiba na tume huru kabla ya uchaguzi. Hewa!
3. Tanzania itatengwa maana dunia ni kijiji. Hewa!
4. Uchumi umevurugwa nchi itaingia matatizo makubwa ya kiuchumi. Hewa!
5. Nchi itaangamia kwa Corona maana Raisi anapuuza maagizo ya WHO. Hewa!
6. Benki ya Dunia imekataa kutoa mkopo kwa Tanzania mpaka iruhusu mimba mashuleni. Hewa!
7. Nguvu ya umma itatumika kuilazimisha serikali iruhusu mikutano na maandamano maana ni haki ya kikatiba. Hewa!
8. CCM itasambaratika ilimfukuza. Hewa!
9. Jumuia ya kimataifa itaingilia kati kuhusu uvunjifu wa haki za binadamu nchini. Hewa!
10. Tutajenga ukuta. Hewa!
11. Tutaunda Serikali zetu za mitaa na tutaagiza wananchi wasitoe ushirikiano Kwa waliochaguliwa kiharamu. Hewa!
12. Wapinzani tutaungana uchaguzi mkuu. Hewa!
13. Tutaunda kamati za kuorodhesha vifo vya koviki naintinyi. Hewa!
14. Safari hii sio mafuriko ni Tsunami. Hewa!
15. Tutamshitako Raisi lazima tumburuze mahakamani kwa kuwa hakuna aliye juu ya sheria. Hewa!
16. Acacia hawatalipa hata senti moja. Hewa!
17. Tutazuia bajeti isipite. Hewa!
18. Mapato ya serikali yatapungua kwa kuwa wanasumbua wawekezaji. Hewa!
19. Hatumtambui raisi wa Zanzibar na tutamwapisha babu. Hewa!
20. Hatumtambui JPM. Hewa!
Hivi tutaaminije ahadi mpya? Muwe mnaahidi vinavyotekelezeka. Hebu muigeni Mzee Hashim. Ukiacha suala la kurefusha bahari huwa anaahidi vinavyotekelezeka na anaweza kuwafanyia surprise!
1. Serikali ikikamata makenikia itabamizwa mahakama za kimataifa. Hewa!
2. Huu ni mwaka wa kudai demokrasia lazima katiba na tume huru kabla ya uchaguzi. Hewa!
3. Tanzania itatengwa maana dunia ni kijiji. Hewa!
4. Uchumi umevurugwa nchi itaingia matatizo makubwa ya kiuchumi. Hewa!
5. Nchi itaangamia kwa Corona maana Raisi anapuuza maagizo ya WHO. Hewa!
6. Benki ya Dunia imekataa kutoa mkopo kwa Tanzania mpaka iruhusu mimba mashuleni. Hewa!
7. Nguvu ya umma itatumika kuilazimisha serikali iruhusu mikutano na maandamano maana ni haki ya kikatiba. Hewa!
8. CCM itasambaratika ilimfukuza. Hewa!
9. Jumuia ya kimataifa itaingilia kati kuhusu uvunjifu wa haki za binadamu nchini. Hewa!
10. Tutajenga ukuta. Hewa!
11. Tutaunda Serikali zetu za mitaa na tutaagiza wananchi wasitoe ushirikiano Kwa waliochaguliwa kiharamu. Hewa!
12. Wapinzani tutaungana uchaguzi mkuu. Hewa!
13. Tutaunda kamati za kuorodhesha vifo vya koviki naintinyi. Hewa!
14. Safari hii sio mafuriko ni Tsunami. Hewa!
15. Tutamshitako Raisi lazima tumburuze mahakamani kwa kuwa hakuna aliye juu ya sheria. Hewa!
16. Acacia hawatalipa hata senti moja. Hewa!
17. Tutazuia bajeti isipite. Hewa!
18. Mapato ya serikali yatapungua kwa kuwa wanasumbua wawekezaji. Hewa!
19. Hatumtambui raisi wa Zanzibar na tutamwapisha babu. Hewa!
20. Hatumtambui JPM. Hewa!
Hivi tutaaminije ahadi mpya? Muwe mnaahidi vinavyotekelezeka. Hebu muigeni Mzee Hashim. Ukiacha suala la kurefusha bahari huwa anaahidi vinavyotekelezeka na anaweza kuwafanyia surprise!