M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
mkuu mbona unamchukia jamaa kwa kuwafurahisha watu kwa vinywaji murua. Wote tutakufa tu hata bila hivyo vinywajiYa yule bilionea wa manyara?
Thibitisha dai lako.
pombe ni adui wa maendeleomkuu mbona unamchukia jamaa kwa kuwafurahisha watu kwa vinywaji murua. Wote tutakufa tu hata bila hivyo vinywaji
Ipo pale Golden Tulip kukodi very cheapView attachment 3186222
Anaongelewa Lugumi kama sijakoseaNimepita kwenye uzi ila sijadaka chochote🙂
Sawa, shukurani. Nilitoka kapa kabisa, kwani si ni huyu huyu tajiri[Lugumi] ambaye ana collection kubwa ya magari na hivi karibuni ametajwa kujenga ghorofa kwa ajili ya watoto wa mitaani? Ila Bongo kila mtu anadai kuwa na 'Exclusives' za mastaa😂😂Anaongelewa Lugumi kama sijakosea
hayo mambo wanaweza wambea tu!Anaongelewa Lugumi kama sijakosea
Mbona imeficha sura?Ipo pale Golden Tulip kukodi very cheapView attachment 3186222
Ndio huyo huyoSawa, shukurani. Nilitoka kapa kabisa, kwani si ni huyu huyu tajiri[Lugumi] ambaye ana collection kubwa ya magari na hivi karibuni ametajwa kujenga ghorofa kwa ajili ya watoto wa mitaani? Ila Bongo kila mtu anadai kuwa na 'Exclusives' za mastaa😂😂
Ilo ni wigi la ndegeMbona imeficha sura?
Mtoa mada ana haraka na habari, japo sina taarifa za kutosha ila nina uhakika kwamba Lugumi ana pesa za kutosha.Ndio huyo huyo
Nilijua inaona aibu?Ilo ni wigi la ndege
Ile ni eiza wigi au barakoaNilijua inaona aibu?
Zingatia kauli ya mtoa mada [independent Analyst wa Uchumi], inahitaji akili na kujiamini sana kuzichambua mali ambazo hauzifahamuKwani mtu hawezi akamiliki chombo akawa anakitumia binafsi na hapo hapo akakodisha?