Usiangalie lina sound vipi je lina maana gani?

Usiangalie lina sound vipi je lina maana gani?

Bwana Bongo

Senior Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
146
Reaction score
212
Watu wakiambiwa kuwa majina yanaunda wanachukulia powa, tanzania ni moja kati ya nchi ambayo wazazi awazingati namna ya kuwapa majina watoto wao, wanaangalia tu namna inavyo sound mdomoni, nchi zilizoendelea bado wanazingatia sana haya mambo, nataka niwape kisa kimoja

Mimi nimezaliwa naitwa ally na jina la ally lina maana nyingi sana ambazo ndani yake kuna kujiamini,kupenda uongozi n.k kuna majina ukimpa mtoto automatic mtoto anakuwa mvivu maybe,
japo maisha na malezi yanaweza kumbadilisha lakini still ndani yake iyo kitu ipo

Kuna majina ndani yake tu kuna uongozi, uchangamfu,kujiamini,ndomaana nadra sana kumkuta ally si jeuri

Lakini nilipofika barehe likazaliwa jina la pada watu wengi wanaonijuwa wanazani hili jina linatokana na pad sababu napenda sana play station (pes) hapana

Jina hili limetoka na neno spaida, spaida ikazaa pada baada ya hapo auto nikajikuta naandika, mashahiri matamu sana, naweza kufreestyl naweza kuandika muziki wa aina yeyote, na ukweli najua mimi naandika vibaya sana kiasi nazani, siku moja msanii yeyote akiimba nilicho kiandika uwo wimbo utakuwa mkubwa sana

Yote yamekuja sababu ya jina la pada, baada ya kukua sasa nikasearch google maana ya neno pada sikumbuki ni kwa kirugha gani lakini maana yake ikawa ni maneno yanayo beba maana nzima ya nyimbo au shahiri

Nina mdogo wangu siwezi mtaja jina lake ila maana ya jina lake ni elimu hata namna ya ufanyaji wake kazi, kwasababu ya kupata kitu flani baada ya hapo afanyi tena ile kazi mentality yake kichwani ni elimu kwamba yeye ndio gentlaman umwambi kitu, na hana elimu

Mifano hii uelewe kwamba japo hatuko perfect, lakini kuna mambo tunaweza fight nayo, kisha tukatengeneza misingi toka mwanzo, usiangalie linavyo sound angalia kwanza lina maana gani?

#Bwanabongo
 
Watu wakiambiwa kuwa majina yanaunda wanachukulia powa, tanzania ni moja kati ya nchi ambayo wazazi awazingati namna ya kuwapa majina watoto wao, wanaangalia tu namna inavyo sound mdomoni, nchi zilizoendelea bado wanazingatia sana haya mambo, nataka niwape kisa kimoja

Mimi nimezaliwa naitwa ally na jina la ally lina maana nyingi sana ambazo ndani yake kuna kujiamini,kupenda uongozi n.k kuna majina ukimpa mtoto automatic mtoto anakuwa mvivu maybe,
japo maisha na malezi yanaweza kumbadilisha lakini still ndani yake iyo kitu ipo

Kuna majina ndani yake tu kuna uongozi, uchangamfu,kujiamini,ndomaana nadra sana kumkuta ally si jeuri

Lakini nilipofika barehe likazaliwa jina la pada watu wengi wanaonijuwa wanazani hili jina linatokana na pad sababu napenda sana play station (pes) hapana

Jina hili limetoka na neno spaida, spaida ikazaa pada baada ya hapo auto nikajikuta naandika, mashahiri matamu sana, naweza kufreestyl naweza kuandika muziki wa aina yeyote, na ukweli najua mimi naandika vibaya sana kiasi nazani, siku moja msanii yeyote akiimba nilicho kiandika uwo wimbo utakuwa mkubwa sana

Yote yamekuja sababu ya jina la pada, baada ya kukua sasa nikasearch google maana ya neno pada sikumbuki ni kwa kirugha gani lakini maana yake ikawa ni maneno yanayo beba maana nzima ya nyimbo au shahiri

Nina mdogo wangu siwezi mtaja jina lake ila maana ya jina lake ni elimu hata namna ya ufanyaji wake kazi, kwasababu ya kupata kitu flani baada ya hapo afanyi tena ile kazi mentality yake kichwani ni elimu kwamba yeye ndio gentlaman umwambi kitu, na hana elimu

Mifano hii uelewe kwamba japo hatuko perfect, lakini kuna mambo tunaweza fight nayo, kisha tukatengeneza misingi toka mwanzo, usiangalie linavyo sound angalia kwanza lina maana gani?

#Bwanabongo
HUO NI UWONGO BWANAAA!
 
Back
Top Bottom