Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni kweli kabisa mbele za watu mke wako akikutukana we kaa kimya ila mkirudi nyumbani hapo sasa ndiyo unamuuliza ulikuwa unasemaje wewe Kiwavi? Hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli kabisa mbele za watu mke wako akikutukana we kaa kimya ila mkirudi nyumbani hapo sasa ndiyo unamuuliza ulikuwa unasemaje wewe Kiwavi? Hahahaha
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ni kweli kabisa mbele za watu mke wako akikutukana we kaa kimya ila mkirudi nyumbani hapo sasa ndiyo unamuuliza ulikuwa unasemaje wewe Kiwavi? Hahahaha
Hakupewa majibu ya uchaguzi?Aliwezeshwa akaweza
Kumbuka alipewa majibu ya midahalo
HahahaaHakupewa majibu ya uchaguzi?
Mama Anna ngwira je humkubali?lakini yule mama clinton yuko strong sana a see katika siasa kwa wanawake na actually aliwakilisha asilimia kubwa ya wanawake na wengi wao walimsapoti sana, namkubali kwa ukakamavu wake wa kusimama na kupangua hojaa..!
yule wa ACT wazalendo?, yule mama alikuwa hana shida yani yani anaweza hutubia watu wachache lakini ana confidence yani utadhani anaingia ikulu kesho the same to hashimu rungwe pia, but huyoo mama ameonyesha mfano wa kuigwa ndo mana akapata fans wengi jinsia yake sishangai kama uchaguzi ujao kama hawatampitisha, wengine wa mfano wapo kama Dk Asha rose migiro she is strong women on this planet of us.....Mama Anna ngwira je humkubali?