hapo umesema ki2 mkuu serikali co jinga kutoa jiti kwa baadhi ya koz ikiwa na maana kwamba mbeleni itazihitaj hizo i mean market big up mkuu 4 ur answer
veterinary si ipo kwenye priority...lakini unaweza sikia bodi imeishiwa hela kwaio wengine wajitegemee yan..everything is possible even the impossible is possible at times..