Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Acha majungu mkuu... Kila mtu na maisha yake utakuwa mchawi uzeeni ndugu!!
Naomba nikujulishe kwamba wasanii wetu wa jukwaani, kuanzia movie mpaka muziki ni watu waliojaa maringo na kutojitambua.Wanakipenda sana kiingereza na wanajiona wanakifahamu vizuri, hawahitaji mtu wakuwafundisha kiingereza!Kumbe alizua kizaazaa pale alipoingia katika moja ya hotel za nchini humo! kama kawaida kwenye hotel kubwa lazima upewe menu ambayo ina kila k2 kinachopatikana katika hotel hiyo. Kumbe mwenze2 ngeli inazngua akakodolea ile menu kwa dakika kadhaa.
Bahati nzur kapita muhudum akiwa kabeba tray ya mayai, mara mwenze2 akasema "oooh! yes! i want the mother of this" kumbe alikua akimaansha kua anataka kuku.. hahaha!
Hivi kwel anashndwa kutafuta mwalimu hata akawa anamfundsha ka tution ka usiku kama chibu, mbona sa hv ameelewa!
Kumbe alizua kizaazaa pale alipoingia katika moja ya hotel za nchini humo! kama kawaida kwenye hotel kubwa lazima upewe menu ambayo ina kila k2 kinachopatikana katika hotel hiyo. Kumbe mwenze2 ngeli inazngua akakodolea ile menu kwa dakika kadhaa.
Bahati nzur kapita muhudum akiwa kabeba tray ya mayai, mara mwenze2 akasema "oooh! yes! i want the mother of this" kumbe alikua akimaansha kua anataka kuku.. hahaha!
Hivi kwel anashndwa kutafuta mwalimu hata akawa anamfundsha ka tution ka usiku kama chibu, mbona sa hv ameelewa!
Mbona wazungu hawajui kiswahili na hauwashangai?
Hen , unajua uko la pili tu?!
Una utqni naye??!
HahahaKumbe alizua kizaazaa pale alipoingia katika moja ya hotel za nchini humo! kama kawaida kwenye hotel kubwa lazima upewe menu ambayo ina kila k2 kinachopatikana katika hotel hiyo. Kumbe mwenze2 ngeli inazngua akakodolea ile menu kwa dakika kadhaa.
Bahati nzur kapita muhudum akiwa kabeba tray ya mayai, mara mwenze2 akasema "oooh! yes! i want the mother of this" kumbe alikua akimaansha kua anataka kuku.. hahaha!
Hivi kwel anashndwa kutafuta mwalimu hata akawa anamfundsha ka tution ka usiku kama chibu, mbona sa hv ameelewa!