Hii ni kweli kabisa!Sungura, panya na
Jamii zao huwa na
mwendo wa kukimbia
na kuruka muda wote
na umri wao wa kuishi
ni miaka 15.
Kobe ni mnyama mwenda pole,
asiye na papara wala
pilika, muda mwingi
hujificha na kupumzika
ndani ya jumba lake
akikwepa maadui. Umri wa kuishi kobe
hufikia hadi miaka 300.
MAZOEZI NI KIINIMACHO NA UONGO
MTUPU.
JIPUMZIKIE NDUGU.
Hahahaha aiseeNi kweli sungura ni jamii ya panya. Anayekula sungura hana tofauti na alaye panya.
Hapo sasaYa nini kuutesa mwili wako.