Usichokijua kuhusu Yusuf Manji

Tupe pesa basi au tutafutie mdhamini tuache njaa
 
Tatizo la yanga ni kwamba kwa sasa hawana free mind wanachokifanya ni kwenda sambamba na wenzao simba..
Mi nadhani mashabiki wa yanga wangekaa kwanza wao kama wao waelekezane waambiane faida na hasara za mfumo wanaotaka kuingia sio kulalamika lalamika tu na kushabikia vitu visivyokua na msingi.
 


Wewe umefanya chochote katika jamii yako, acha umbea mambo yasiyokuhusu na usiyoyajua usililete kiherehere cha kuanza kuchangia, mazuri ni mengi kuliko huo upande unaousema wewe, are you asset or liability around your community?
 
Tembelea anakoongoza diwani huyo Huko mbagara kuu Ndio useme ana mchango kwa taifa.
 
Hao wahindi baada kashindwa kwenye siasa wamekuja kwenye mpira kwa kasi ya ajabu, baada ya kugundua ndio sehemu iliyobaki ya kupiga hela.

Hapo mwanzo walipiga hela kwenye hizi klabu zetu baadaye wakaona siasa inalipa zaidi kuliko mpira wakaenda kwenye siasa, Sasa walipoona mianya kwenye siasa imefungwa hao mbia wanarudi kule kwenye mpira kupiga tena, kwa sababu kwenye klabu zetu bado kuna mianya mingi ya kupiga deal.
 
dawa yenu ndalichako tuu nyie vizibo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…